JAMII IELIMISHWE KUHUSU USULUHISHI NJE YA MAHAKAMA-JAJI MKUU
Na Mwandishi Wetu -WKS Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe. Prof. Ibrahim Hamis Juma amesema kuwa ni vyema Wizara ya Katiba na Sheria kupitia Kampeni ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia ikaendelea kutoa elimu kwa jamii kuhusu faida za kufanya usuluhishi wa migogoro nje ya Mahakama ili kuepuka kutumia muda mrefu kusikiliza Mashauri, kuepuka gharama…