Bajeti SMZ yapitishwa, Waziri akitaja sababu kutoongezeka vyanzo vya mapato
Unguja. Wakati Bajeti ya Serikali na mpango wa maendeleo Zanzibar kwa mwaka 2024/25 vikipitishwa, Waziri wa Fedha na Mipango, Dk Saada Mkuya ametaja sababu za kutoweka vyanzo vipya vya mapato, kuwa ni kutoa fursa kusimamia vyema vilivyopo. Dk Saada amesema hayo akijibu hoja zilizochangiwa na wajumbe wa Baraza la Wawakilishi katika bajeti iliyowasilishwa barazani Juni…