Admin

MILIONI 250 ZAIDHINISHWA UJENZI WA DARAJA LA KILOKA WILAYANI MOROGORO

Na Mwandishi Wetu, Morogoro Serikali imeshaidhininisha kiasi cha shilingi Milioni 250 kwaajili ya ujenzi wa daraja la Kiloka linaounganisha kijiji cha Kiloka na vijiji jirani ambalo lilisombwa na maji ya Mvua zilizonyesha mwanzoni mwa mwaka huu nchini. Hayo yameelezwa na Naibu Katibu Mkuu OR-TAMISEMI anayeshughulikia Miundombinu Mhandisi Rogatus Mativila wakati wa ziara yake ya kikazi…

Read More

NEMC kutumia Sabasaba kutoa elimu ya mazingira

Dar es Salaam. Baraza la Taifa la Uhifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC), limejipanga kutoa elimu kwa umma na kufanya usajili wa miradi ya uwekezaji kwa kuzingatia tathmini ya athari za mazingira kwenye Maonyesho ya 48 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (DITF). Hayo yamebainishwa Dar es Salaam leo Juni 21, 2024 na…

Read More

NYUMA YA PAZIA: Coma Sava na saluti zote kwa Ng’olo Kante

ALIONDOKA uwanjani na kitambaa katika bega kama nahodha, tabasamu usoni. Sura chini. Mfupi kama alivyo, shujaa kama alivyo, N’Golo Kante alinikumbusha mbali katika pambano la majuzi kati ya Ufaransa dhidi ya Austria kule Ujeumani. Kwamba N’Golo ni yule yule tu. Baada ya pambano aliingia katika vyumba vya kubadilishia nguo na wachezaji wenzake wakaanza kumshangilia. Mchezaji…

Read More

Tembo amuua mtalii wa Marekani nchini Zambia

Mtalii wa Kimarekani mwenye umri wa miaka 64 aliuawa wiki hii na tembo katika mji wa Livingstone kusini mwa Zambia. Katika taarifa siku ya Alhamisi, kamishna wa polisi wa Mkoa wa Kusini Auxensio Daka alisema kuwa Juliana Tourneau alikumbana na hatima yake Jumatano alasiri katika Daraja la Utamaduni la Maramba huko Livingstone. Daka alisema kuwa…

Read More

Wanne wapoteza maisha ajali ya Noah Singida

Singida. Watu wanne wamepoteza maisha na wengine wanne kujeruhiwa katika ajali iliyohusisha magari matatu katika Kijiji cha Nkwae mkoani Singida. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Singida, Amon Kakwale amesema leo Juni 21, 2024 kuwai chanzo cha ajali hiyo ni uzembe wa dereva wa Noah aliyeshindwa kulimudu gari lake akiwa katika mwendokasi. Kamanda Kakwale amesema miongoni…

Read More

Pamba Jiji yaonywa mapema Ligi Kuu Bara

MAANDALIZI ya Pamba Jiji kwa ajili ya Ligi Kuu msimu ujao wa mwaka 2024/2025 yanazidi kushika kasi, huku mastaa wa zamani na makocha wakiionya kufanya usajili wa kukurupuka utakaoisababisha kushuka daraja msimu wake wa kwanza. Timu hiyo ya jijini hapa tayari imeachana na benchi la ufundi chini ya Mbwana Makatta na Renatus Shija walioipandisha daraja…

Read More