Admin

Wanyeche avunjwa ukimya, aitaja Lugalo

MSHINDI wa mashindano ya Gofu ya Alliance, yaliyofanyika wikiendi iliyopita mjini Morogoro, Enoshi Wanyeche ameweka wazi yeye ni mchezaji wa klabu ya Gofu ya Lugalo na sio Kili Golf ya Arusha kama alivyoripotiwa katika matoleo mawili ya gazeti hili. Akizungumza na Mwanaspoti jana asubuhi, nyota huyo alisema ni kweli amekuwa akifanya mazoezi na kuwepo mara…

Read More

Baba adaiwa kumbaka maharimu wake mwenye miaka mitano

Geita. Jeshi la Polisi mkoani Geita limewakamata watuhumiwa 755 wa makosa mbalimbali ya kihalifu akiwemo Msauz Bakari (34), mchimbaji wa madini katika Kijiji cha Uyovu kilichopo wilayani Bukombe anayetuhumiwa kuzini na maharimu wake mwenye umri wa miaka mitano. Katika taarifa iliyotolewa na Jeshi la Polisi mkoa wa Geita inaeleza Juni 16, 2024 saa 4:30 usiku…

Read More

Rais Samia kunogesha tamasha la Utamaduni

RAIS wa Tanzania, Dk Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwa mgeni rasmi wa Tamasha la Utamaduni litakalofanyika mkoani Ruvuma katika viwanja vya Maji Maji kuanzia Julai 20-27 mwaka huu. Hayo yamewekwa wazi na Naibu waziri wa Sanaa, Utamaduni na Michezo, Hamis Mwinjuma ‘Mwana FA’, katika uzinduzi rasmi wa tamasha hilo uliofanyika juzi jijini Dar es Salaam….

Read More

Mume adaiwa kumuua mkewe | Mwananchi

Geita. Watu wanne wamepoteza maisha mkoani Geita katika matukio mawili tofauti, likiwemo la mume kudaiwa kumuua mkewe kwa kumpiga na kitu kizito kichwani, lililotokea katika Kitongoji cha Msasa, Kata ya Nyarugusu, wilayani Geita. Taarifa ya Jeshi la Polisi Mkoa wa Geita imesema Juni 17, 2024 saa 11 jioni, Ndaki Shabani (35), mchimbaji wa madini Msasa…

Read More

VIONGOZI PELEKENI TAARIFA SAHIHI KWA WANANCHI

Mkuu wa Wilaya ya Mbeya Mhe. Beno Malisa akifungua kikao cha kujadili utekelezaji wa Mradi wa Uboreshaji Usalama wa Milki za Ardhi Halmashauri ya Jiji la Mbeya tarehe 21 Juni 2024 Mkoani Mbeya. Mstahiki Meya wa Jiji la Mbeya Mhe. Dormohamed Issa Rahmat akitoa neno la shukrani katika kikao cha kujadili utekelezaji wa Mradi wa Uboreshaji Usalama wa Milki za Ardhi Halmashauri ya Jiji…

Read More