Korea Kusini yamwita balozi wa Urusi mjini Seoul – DW – 21.06.2024
Taarifa iliyotolewa na wizara ya mambo ya nje ya Korea Kusini imesema nchi hiyo “imeitaka Urusi kuacha mara moja ushirikiano wa kijeshi na Korea Kaskazini na kuheshimu maazimio ya Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa”. Kuitwa kwa balozi wa Urusi mjini SeoulGeorgy Zinoviev kunafanyika siku mbili baada ya Rais Putin kusaini makubaliano ya “kina…