Admin

Zenji ni JKU au Zimamoto ligi ikifikia tamati

LIGI Kuu Zanzibar kwa msimu wa 2023-2024 inafikia tamati jioni ya leo wakati zitakapopigwa mechi saba za kukamilisha raundi ya 30, ambapo bingwa mpya wa ligi hiyo anatarajiwa kufahamika rasmi, huku JKU ikijiweka pazuri mbele ya Zimamoto zikiwa timu pekee zenye nafasi ya kubeba taji. Awali, ligi hiyo ilitarajiwa kumalizika Juni 17, lakini kutokana na…

Read More

Maelfu waandamana Kenya kupinga ongezeko la kodi

Dar es Salaam. Maelfu ya waandamanaji wa Kikundi cha Gen-Z, wengi wao wakiwa vijana wameingia barabarani nchini Kenya kupinga ongezeko la kodi huku wakipuliza filimbi na kuimba nyimbo zinazoonyesha hasira wa dhidi ya Serikali. Leo Alhamisi Juni 20 2024, wakati maandamano hayo yakiendelea nchini humo, Balozi wa Tanzania nchini Kenya, Dk Bernard Kibesse ameiambia Mwananchi…

Read More

AKILI ZA KIJIWENI: Azam FC iwekeze soka la wanawake

JUNI 15 mwaka huu, Azam FC ilitoa taarifa ya kufikia makubaliano ya ushirikiano wa mwaka mmoja na timu ya wanawake ya Fountain Gate Princess inayoshiriki Ligi Kuu ya wanawake Tanzania. Lengo la kufikia makubaliano hayo ni kutimiza kanuni za mashindano ya Ligi ya Mabingwa Afrika zinazolazimisha klabu shiriki kuwa na timu za wanawake ili zipate…

Read More

AKILI ZA KIJIWENI: Kopunovic yuko kwenye kipimo Pamba

DIRISHA la usajili linazidi kuchangamka na jamaa zetu wa Pamba FC wao wameanza kwa utambulisho wa kocha mkuu Goran Kopunovic kutoka Serbia. Kocha huyo anachukua nafasi ya Mbwana Makata ambaye pamoja na kuipandisha daraja timu hiyo, imeamua kutoendelea naye na kuamua kumchukua kocha huyo wa zamani wa Simba. Kabla ya kujiunga na Pamba FC, timu…

Read More