Admin

WANANCHI WA BARIADI WAVUTIWW NA ELIMU YA FEDHA.

Na Asia Singano, WF, Simiyu. Baadhi ya wananchi wa Mji wa Bariadi mkoani Simiyu, wameiomba Serikali kupitia Wizara ya Fedha iendelee kuwapatia elimu ya fedha ikiwemo namna ya kutumia fedha, uwekaji akiba, uwekezaji, na umuhimu wa bima kutokana na wananchi wengi kuendelea kudidimia kiuchumi licha ya kufanya shughuli mbalimbali za kiuchumi ikiwemo ujasiriamali na biashara….

Read More

Makocha 10 wamkubali Mtunguja | Mwanaspoti

BAADA ya Stanley Mtunguja kuonyesha kiwango cha juu katika mashindano ya kanda ya tano ya Afrika umri wa miaka 18 nchini Uganda, makocha zaidi ya 10 wamevutiwa naye.  Kamishina wa makocha wa Shirikisho la mpira wa kikapu nchini (TBF), Robert Manyerere, alisema taarifa walizozipata kutoka Uganda makocha hao walianza kumshawishi mchezaji huyo ajiunge na  timu…

Read More

Netanyahu na Ikulu ya Marekani wanaendelea kutoelewana hadharani kuhusu madai ya Marekani kunyima silaha wakati Israel inapigana na Hamas.

Vita vya maneno vya hadharani kati ya Israel na Marekani viliendelea Alhamisi huku Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu akijibu moja kwa moja Ikulu ya White House baada ya utawala wa Biden kukanusha tena madai yake kwamba Marekani inainyima Israel silaha wakati wa mapambano yake huko Gaza na Hamas. Jibu lake lilikuja muda mfupi baada ya msemaji…

Read More

Hivi ndivyo anavyopaswa kulala mjamzito

Dar es Salaam. Mwanamke anapopata ujauzito hupitia mabadiliko mbalimbali ya mwili na afya yake. Inaelezwa mara zote mabadiliko hayo husababishwa na mtoto aliyetumboni, lakini pia, kuongezeka kwa homoni mwilini mwake. Wataalamu wanasema mabadiliko hayo huyafanya maisha ya mjamzito kubadilika kuanzia kwenye mavazi, chakula, uwezo wa kutekeleza majukumu ya kila siku sambamba na namna ya kulala….

Read More

TETESI ZA USAJILI BONGO: Makang’a, Lanso wanukia Singida BS, Ngalema agombewa kanda ya ziwa

UONGOZI wa Singida Black Stars umeanza kufuatilia kwa karibu saini ya beki wa kulia wa KMC, Abdallah Said Ali ‘Lanso’. Lanso alitua KMC katika dirisha dogo la msimu uliopita akitokea Mlandege Zanzibar na kusaini mkataba wa miaka miwili wenye kipengele kinachomruhusu kuondoka akipata timu na Singida inataka kukitumia. NYOTA wa Dodoma Jiji, Abubakar Ngalema ameanza…

Read More

TBS YASHIRIKI MAONESHO WIKI YA UTUMISHI WA UMMA

AFISA  Rasilimali Watu kutoka Shirika la Viwango Tanzania (TBS) Bi.Faidha Nyenzi,akitoa elimu kwa wananchi waliofika katika  banda la TBS katika  Maonesho ya wiki ya Utumishi wa Umma 2024 yanayoendelea Viwanja vya Chinangali jijini Dodoma. MKURUGENZI wa Rasilimali Watu na Utawala kutoka Shirika la Viwango Tanzania (TBS) Bi.Viola Masako, akizungumza na waandishi wa habari kwenye banda…

Read More

Utawala wa Biden unapiga marufuku Wamarekani kutumia programu ya usalama wa mtandao iliyotengenezwa nchini Urusi juu ya maswala ya usalama wa kitaifa.

Utawala wa Biden unachukua hatua ambayo haijawahi kushuhudiwa ya kupiga marufuku makampuni na raia wa Marekani kutumia programu zilizotengenezwa na kampuni kubwa ya ulinzi ya mtandao ya Urusi kwa sababu ya masuala ya usalama wa taifa, Katibu wa Idara ya Biashara Gina alitangaza Alhamisi. Hatua hiyo inatumia mamlaka mpya ya Idara ya Biashara iliyojengwa kwa…

Read More

Mambo sita ya kufanya kuimarisha afya ya ubongo

Dar es Salaam. Ikiwa wewe ni miongoni mwa watu wasiolala inavyopaswa, basi fahamu unauumiza ubongo wako na kuufanya ushindwe kutekeleza majukumu yake ipasavyo. Wataalamu wa akili na ubongo, wanasema wapo watu wenye uwezo mkubwa wa akili, lakini kutokana na kutolala kwa saa sita mpaka nane mfululizo kwa siku, ubongo wao huishia kufanya kazi kwa asilimia…

Read More

NSSF YAANZA KUWAONDOA WADAIWA SUGU KATIKA NYUMBA ZAKE

Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) umeanza zoezi la kuwaondoa wadaiwa sugu walioshindwa kutekeleza matakwa ya mkataba wa ununuzi wa nyumba katika miradi yake ya Dar es Salaam. Zoezi la kuwaondoa wadaiwa sugu hao lilifanyika tarehe 18 Juni 2024 katika mradi wa nyumba za Kijichi, Temeke. Akizungumza wakati wa zoezi hilo, Meneja Miliki…

Read More