Maandalizi maonyesho ya Sabasaba yashika kasi, kampuni 3,200 kushiriki
Dar es Salaam. Zikiwa zimebaki siku saba kabla ya kuanza kwa maonyesho ya 48 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (DITF), kampuni za ndani 2,979 zimethibitisha ushiriki wake hadi sasa huku maandalizi yakifikia asilimia 79. Pia, tofauti na miaka mingine, mwaka huu wananchi watakuwa na uwezo wa kukata tiketi kupitia mitandao ya simu…