Admin

Hoja za usalama, akili bandia kutawala mkutano wa IPU

Unguja. Hoja ya ulinzi, usalama na amani inatarajiwa kuchukua nafasi kubwa wakati wa mkutano wa Umoja wa Mabunge Duniani unaotarajiwa kufanyika Oktoba nchini Uswis. Mbali na hoja hiyo, mengine yanayotarajiwa kujadiliwa ni masuala ya akili bandia na mabadiliko ya tabaianchi. Akizungumza leo Juni 20, 2024 baada ya kukamilisha kikao cha Kamati Tendaji ya IPU, Rais…

Read More

USHAHIDI WA CRC WAGONGA MWAMBA KESI NDOGO

*Ni wa nyaraka za miamala ya Benki kutoingizwa katika ushahidi katika kesi dhidi Equity na CRC Na Chalila Kibuda,Michuzi Tv Mahakama Kuu Division ya Biashara imetoa hukumu ndogo ya nyaraka za miamala ya Benki zilizowasilishwa na Shahidi ya wa pili Elexender Gombanila za kutoingizwa katika vielelezo vya ushahidi katika kesi ya Equity na CRC ….

Read More

Sababu kupugua uzalishaji karafuu, nazi zatajwa

Unguja. Uzalishaji wa karafuu umepungua kutoka tani 4,734.1 mwaka 2022 hadi kufikia tani 2,654.7 mwaka 2023 sawa na upungufu wa asilimia 43.9 Pia uzalishaji wa nazi umeshuka kutoka nazi milioni 119.747 mwaka 2022 hadi nazi milioni 79.807 mwaka 2023. Hayo yamebainishwa leo Juni 20, 2024 na Waziri wa Waziri wa Kilimo, Umwagiliaji, Maliasili na Mifugo,  Shamata Shaame Khamis…

Read More

Mahakimu watatu wanavyopambana kudai haki kortini

Dodoma. Mahakama Kuu, imewapa kibali, mahakimu watatu wa zamani wa mhimili huo, ili wafungue maombi ya kuomba kurejewa kwa uamuzi wa Tume ya Utumishi wa Mahakama wa kuwafuta kazi na hatimaye kubatilisha uamuzi huo. Uamuzi wa kuwaruhusu mahakimu hao wa zamani kufungua maombi hayo, ulitolewa Juni 18, 2024 na Jaji Fredrick Manyanda wa Mahakama Kuu…

Read More

TETESI ZA USAJILI BONGO: Luhende awaniwa Dodoma Jiji  

KAMA ulikuwa unadhani beki mkongwe wa Kagera Sugar, David Luhende anajiandaa kutundika daluga pole yako, kwani kwa sasa jamaa ameingia kwenye anga la Dodoma Jiji inayomtaka kumsajili. Uongozi wa Dodoma Jiji, umedaiwa kuanza mazungumzo na beki huyo wa zamani wa Yanga ili aitumikie kwa msimu ujao. Luhende aliyewahi kukipiga Mwadui, Mtibwa Sugar na Yanga, amemaliza…

Read More

Tanzania yatangaza mkakati wa kuwalinda watu wenye ualbino – DW – 20.06.2024

Tamko hilo limetolewa kufuatia mauaji ya hivi karibuni ya mtoto mwenye ualbino Asimwe Novart ambaye mwili wake uliokotwa mkoani Kagera huku baadhi ya viungo vyake vikiwa vimenyofolewa. Hayo yanajiri wakati ambapo jeshi la polisi nchini humo likitangaza kuwa limewakamata watu tisa wanaotuhumiwa kwa mauji ya mtoto huyo.  Akizungumza bungeni mjini Dodoma, Waziri Mkuu wa Tanzania,…

Read More