Aliyetuhumiwa kumuua mama yake akimtuhumu kwa ushirikina, aachiwa huru
Arusha. Mahakama Kuu Masjala ndogo ya Dodoma, imewaachia huru watuhumiwa watatu katika kesi ya mauaji akiwemo Mwandu Kashinje aliyekuwa akituhumiwa kushirikiana na wenzake kumuua mama yake mzazi, Nshoma Salawa. Mbali na Mwandu, washtakiwa wengine walioachiwa huru ni mshtakiwa wa kwanza Nkinga Maganga na mshtakiwa wa pili Kasule John. Wakati wa usikilizwaji wa kesi hiyo ilidaiwa…