Admin

Wadau wahoji matumizi mikopo ya Serikali

Dar es Salaam. Wakati deni la Serikali likiendelea kuongezeka, wasomi na mchambuzi wa uchumi wamehoji matumizi ya mikopo inayochukuliwa na Serikali, huku pia wakihoji tozo zinazoanzishwa na Seriakali zikidaiwa kuwaumiza maisha ya wananchi. Akiwasilisha bajeti ya Serikali ya mwaka 2024/25, Waziri wa Fedha, Dk Mwigulu Nchemba alisema hadi Machi 2024, deni la Serikali lilikuwa zaidi…

Read More

Bashe apasua mtumbwi CCM

  HUSSEIN Mohammed Bashe, waziri wa Kilimo, amekiweka pabaya Chama Cha Mapinduzi (CCM), kufuatia kuibuka kwa madai kuwa ameshiriki katika ukiukwaji wa sheria, rushwa na kuikosesha serikali mapato katika utoaji wake wa vibali vya kuingiza sukari nchini. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea). Bashe anatuhumiwa kutoa vibali vya tani 410,000 za sukari kinyume na mahitaji yaliyopo; kuyapa makampuni…

Read More

Mbowe amtaja Ndesamburo uimara wa Chadema Kilimanjaro

Moshi. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe amewataka wanachama wa chama hicho Mkoa wa Kilimanjaro kumuenzi mwanasiasa mkongwe mkoani humo, Philemon Ndesamburo kwa kuyaenzi mema aliyoyafanya ndani ya chama hicho. Amesema Ndesamburo alifanya kazi kubwa ya kimageuzi mkoani humo na maeneo mengine “na kwa heshima ya Mzee Ndesamburo lazima chama hiki…

Read More

Zao la kakao lilivyogeuka lulu kwa wananchi Kyela

Mbeya. Wakati wakulima wa kakao mkoani Mbeya wakichekelea bei nzuri ya zao hilo, Chama Kikuu cha Ushirika wilayani Kyela (Kyecu) kimesema hakijafikia kiwango cha uzalishaji kinacholengwa kutokana na mahitaji makubwa ya bidhaa hiyo duniani. Hii ni baada ya kuwapo kwa bei mpya ya kako inayoonekana kuchochea kilimo hicho ambacho kinatajwa kuwa cha kwanza wilayani Kyela…

Read More