Jaji Mkuu: Mapendekezo Tume ya Haki Jinai yafanyiwe kazi
Dar es Salaam. Jaji Mkuu wa Tanzania, Profesa Ibrahim Juma amewataka viongozi wa taasisi za haki jinai kuwahimiza watendaji wao kuisoma taarifa ya Tume ya Haki Jinai ili kuboresha utendaji kazi wao wa kila siku. Julai mwaka 2023, Tume ya Haki Jinai iliyoundwa na Rais Samia Suluhu Hassan iliwasilisha ripoti yake yenye mapendekezo mbalimbali yanayolenga…