Admin

CTI yampongeza Rais Samia kwa bajeti inayojali kukuza viwanda vya ndani

SHIRIKISHO la Wenye Viwanda (CTI), limempongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuweka bajeti inayojali kusisimua ukuaji wa viwanda na biashara nchini. Anaripoti Na Mwandishi Wetu…(endelea) Pia Shirikisho hilo limesema kuanzishwa kwa ada ya kuendeleza viwanda kwa bidhaa zinazotoka nje kwenye bajeti kuu ya serikali kutasaidia kulinda viwanda vya ndani, kuchochea uwekezaji na kuongeza mauzo ya…

Read More

Majadiliano Jatu, DPP bado yaendelea

Dar es Salaam. Serikali imesema bado haijafikia tamati katika majadiliano ya kuimaliza kesi baina yake na Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Jatu PLC, Peter Gasaya. Gasaya (33), anakabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi akishtakiwa kwa mashitaka mawili, likiwamo la kujipatia Sh5.1 bilioni kwa njia ya udanganyifu. Wakili wa Serikali, Eric Davies ameieleza  Mahakama ya Hakimu…

Read More

Serikali ya Ruto yalegeza msimamo, mswada wa fedha 2024 – DW – 18.06.2024

Hata hivyo mswada huo umetengewa siku ya Alhamisi kujadiliwa na kupata ridhaa bungeni.Wakati huohuo, purukushani zimeshuhudiwa kutwa nzima katikati ya jiji kuu kuupinga mswada wa fedha wa 2024. Mchana huu wa siku ya Jumanne, umeshuhudia hali ya mshike mshike katikati ya jiji la Nairobi pale waandamanaji walipokusanyika na kuvurugana na maafisa wa usalama.  Dhamira ya waandamanaji…

Read More

CCM Igunga wanolewa kuhusu sheria usalama barabarani

Viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilaya ya Igunga mkoani Tabora, waliogawiwa pikipiki kwa ajili ya shughuli za chama wilayani humo, wametakiwa kufuata sheria za usalama barabarani ili waepuke ajali za barabarani. Anaripoti Victor Makinda, Tabora … (endelea). Hayo yameelezwa mjini Igunga na Askari wa  kikosi cha usalama barabarani, Koplo Josiah, wakati akitoa mafunzo ya…

Read More

Kigamboni bado wana kiu ya maji ‘matamu’

Dar es Salaam. Wakati Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (Dawasa) ikisema imefikisha maji eneo la Kigamboni, baadhi ya wananchi wamesema maji hayo hayafai kunywa, kwa kuwa yana chumvi. Hata hivyo, Dawasa imesema ladha ya maji inategemea miamba yanakopatikana, lakini maji ya Kigamboni yamepimwa na yana viwango vinavyokubalika. Kwa mujibu wa…

Read More

Miaka 130 ya Olimpiki Morogoro

Wanamichezo mbalimbali nchini watashiriki mbio za kilomita 2.5 na kilomita 5 zitakazoanzia kwenye uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro kuadhimisha miaka 130 ya Olimpiki. Kamati ya Olimpiki ya Kimataifa (IOC) ilianzishwa mwaka 1894 na mwaka huu nchi mwanachama zinaadhimisha miaka 130, ambapo Tanzania katika siku hiyoya Olimpiki Jumapili ijayo itaadhimishwa kwa mbio hizo. Akizungumza wakati wa…

Read More

Mkurugenzi Mkuu wa UDART ataka kuboreshwa kwa mfumo mzima wa huduma za usafiri wa katika vituo vya BRT

Mkurugenzi Mkuu wa UDART,  Waziri Kindamba leo tarehe 18/06/2024 alifanya  ziara na kutembelea vituo vya huduma za Usafiri zinzotolewa na UDART, hii ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa majukumu na kutaka kujikita zaidi katika maboresho ya huduma za usafiri zinazotolewa na Kampuni ya Mabasi yaendayo haraka UDART. Mkurugenzi Mkuu,  Waziri Kindamba, alianza ziara yake kwa…

Read More