Admin

Nanyaro aokoa wanafunzi kutembea kilomita 3 kuchota maji

MDAU wa maendeleo mkoani Songwe, Ombeni Nanyaro amechangia kiasi cha Sh. milioni moja kwa ajili ya kuunganisha maji na kukarabati bweni la wanafunzi wa shule ya sekondari Kamsamba wilayani Momba mkoani Songwe. Anaripoti Ibrahim Yassin, Songwe… (endelea). Nanyaro ametoa kiasi hicho cha fedha baada ya kutembelea shule hiyo inayomilikiwa na jumuiya ya wazazi (CCM) na…

Read More

RAS Kilimanjaro afariki dunia kwa ajali 

Katibu Tawala Mkoa wa Kilimanjaro, Tixon Nzunda amefariki dunia katika ajali eneo la Njiapanda ya KIA, Wilaya ya Hai,  akiwa ziarani mkoani humo. Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Nurdin Babu amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo akisema imetokea saa nane mchana leo Jumanne Juni 18, 2024. “Ni kweli wakati anatoka KIA amepata ajali mbaya sana, ndio…

Read More

MAKAMU WA RAIS DK.MPANGO AKUTANA NA MKURUGENZI MTENDAJI TAASISI YA KIMATAIFA YA UWEKEZAJI YA UINGEREZA

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango amekutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Kimataifa ya Uwekezaji ya Uingereza (BII) Nick O’Donohoe na ujumbe wake, mazungumzo yaliyofanyika Ikulu, Dodoma. Katika Mazungumzo hayo, Makamu wa Rais ameipongeza Taasisi hiyo kwa kuendelea kuwekeza nchini tangu mwaka 1949 katika…

Read More

Tanzania yazindua ujenzi majengo pacha Nairobi

Nairobi. Serikali imezindua ujenzi wa majengo pacha ya ghorofa 22 kila moja jijini Nairobi, Kenya, yatakayotumika kama Ofisi ya Ubalozi wa Tanzania nchini humo na kitega uchumi kwa ajili ya kuongeza fedha za kigeni. Kwa sasa, Tanzania inatumia Sh29 bilioni kwa mwaka kulipia kodi kwa ajili ya balozi na makazi ya watumishi wake wanaofanya kazi…

Read More

Auawa kwa madai ya kuhoji ‘kwa nini unamwaga bia’

Rombo. Kijana, Erasmi  Johnbosco (23),  Mkazi wa kitongoji cha Moru, Kijiji cha Lessoroma, Wilaya ya Rombo, mkoani Kilimanjaro anadaiwa kuuawa kwa kuchomwa na kisu sehemu ya kifuani na kijana  mwenzake baada ya kumhoji ni kwanini amemwaga bia ya  Sh1,800 wakati wenzake wana kiu ya kinywaji hicho. Tukio hilo, lilitokea jana Juni 17, 2024 ,muda wa…

Read More

RAIS SAMIA I LOVE YOU HALAFU NAKUPENDA

Na Said Mwishehe, Michuzi TV  KUNA mambo lazima tuzungumze japo kwa lugha yoyote ambayo unaweza kuitumia lakini ikasaidia kufikisha ujumbe kwa uliowakusudia na hasa Watanzania wenzangu. Leo kuna jambo nataka kulisema,kulizungumza,kuna jambo nataka kulisimulia.Nikuombe kama uko tayari usome kuanzia mwanzo mpaka mwisho, kama unadhani hutaweza ni bora usisome. Kwanza sijakuandikia wewe.Iloooo. Sasa ndugu yangu, rafiki…

Read More