Admin

Korti Kenya zasitisha huduma kumuomboleza hakimu aliyeuawa – DW – 18.06.2024

Bendera ya idara hiyo inapepea nusu mlingoti hadi marehemu atakapozikwa. Mahakimu na majaji wanaandamana kwa amani kupinga ukosefu wa usalama kwenye sehemu zao za kazi. Maafisa wa ngazi ya juu walikusanyika kwenye mahakama ya Milimani jijini Nairobi kumuenzi na kumuomboleza hakimu mkuu Monica Kivuti aliyeuawa Alhamisi iliyopita. Maombolezi ya leo yanaongozwa na Jaji Mkuu Martha…

Read More

Siri nyuma ya vifo vya wapanda Mlima Everest-2

Katika toleo lililopita tuliona historia na utukufu wa Mlima Everest na kwa nini unaitwa hivyo. Ingawa wapandaji mlima wengi wanatamani kupanda mlima huo, si wote hufanikiwa kufanya hivyo. Wengine huporomoka kwenye mlima na kupotea. Je, ni mambo gani mahususi yanayosababisha hao kupotea na kufa? Je, kunakuwa na hali mbaya ya hewa, matatizo ya vifaa au…

Read More

WIZARA YA NISHATI NA TAASISI ZAKE YASHIRIKI MAADHIMISHO YA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA KWA MAFANIKIO

-Nishati Safi ya Kupikia yapigiwa chapuo-Wananchi wafurahia kuuona mradi wa JNHPP kupitia kifaa cha Uhalisia Pepe-TANESCO yatoa huduma moja kwa moja ikiwemo ya Nikonekt-Wananchi wajulishwa haki zao kupitia EWURA CCC Wizara ya Nishati pamoja na taasisi zilizo chini yake imeshiriki kwa mafanikio katika Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi yaliyoanza tarehe 16 Juni 2024 katika Viwanja…

Read More

Ongezeko la talaka linayumbisha muhimili wa familia– 5

Dar es Salaam. Kama ambavyo simulizi hii imeonyesha namna ambavyo wanawake wanalalamika kuachwa au kutelekezwa ili wadai talaka. Aina ya talaka iitwayo kwa dini ya Kiislamu Khului, ambayo mwanamke anarudisha gharama zilizolipwa na mwanaume wakati wanaoana ili apewe talaka (ajigomboe) zimeongezeka. Kwa mujibu wa idadi ya talaka zilizotolewa kwenye maadhimisho ya wiki ya sheria visiwani…

Read More