Admin

VIDEO: Spika amkalia kooni Mpina

Dodoma. Spika wa Bunge, Dk Tulia Ackson amempeleka Mbunge wa Kisesa (CCM), Luhaga Mpina katika Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge kwa kosa la kumdharau yeye na Bunge. Juni 4, 2024 wakati wa mjadala wa makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Fedha kwa mwaka 2024, Mpina alitoa…

Read More

WIZARA YAHIMIZA UMILIKI WA ARDHI WA PAMOJA BAINA YA WANANDOA

Msimamizi wa Masuala ya Kijamii Bi. Tumaini Setumbi akitoa taarifa ya utekelezaji wa Mradi wa Uboreshaji Usalama wa Milki upande wa kijamii na kimazingira katika mkutano wa wadau kujadili utekelezaji wa mradi huo tarehe 18 Juni 2024 Mkoani Dodoma. Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa Mhe. George Fuime akifungua Mkutano wa Wadau kujadili utekelezaji…

Read More

Injini ya ndege ya Australia yawaka moto ikiwa angani

Moja ya habari iliyokamata hisia za wengi kwenye mitandao ya kijamii ni pamoja na ndege ya Virgin Australia Boeing 737-800 iliyokuwa ikielekea Melbourne kutua kwa dharura  huko New Zealand baada ya moto kulipuka kutoka kwenye injini muda mfupi baada ya kupaa kutoka Queenstown. Tukio hilo linaloshukiwa kusababishwa na shambulio la ndege aliyenasa kwenye injini ,…

Read More

China iwajibishwe kwa kuiunga mkono Urusi – DW – 18.06.2024

Stoltenberg amesema serikali ya Kyiv inahitaji ufadhili wa kijeshi unaooleweka na thabiti huku akipigia chapuo kuongezwa kwa mafungu katika  bajeti za ulinzi za mataifa wanachama wa NATO kutokana na  mashaka ya Donald Trump katika kuisaidia Ukraine. NATO mwezi ujao inaadhimisha miaka 75 tangu kuanzishwa kwake kwa mkutano wa kilele utakaofanyika mjini Washington ambao unalenga kutuma…

Read More

Mbunge alia akielezea mauaji ya albino

Dodoma. Siku moja baada ya mwili wa mtoto mwenye ualbino, Asimwe Novath (2), kupatikana ukiwa umenyofolewa baadhi ya viungo, Mbunge wa Viti Maalumu (CCM), Khadija Taya maarufu Keysha amelia bungeni wakati akiomba mwongozo wa Spika wa Bunge akitaka lijadili usalama wa albino wakati huu wa kuelekea uchaguzi. Hojan ya Keysha imetokana na kile alichodai kuwa…

Read More

Meneja wa Ariana Grande ,Justin Bieber,Scooter Braun atangaza kujiondoa kwenye tasnia ya muziki

Bingwa wa tasnia ya muziki nchini Marekani Scooter Braun ametangaza kustaafu  biashara ya usimamizi wa muziki. Meneja huyo wa zamani mwenye umri wa miaka 42, ambaye amehusishwa na wasanii walioorodheshwa kama vile Justin Bieber, Ariana Grande, na Demi Lovato miongoni mwa wengine, anatazamia kuzingatia zaidi jukumu lake la sasa kama Mkurugenzi Mtendaji wa HYBE America,…

Read More

Spika amkalia kooni Mpina | Mwananchi

Dodoma. Spika wa Bunge, Dk Tulia Ackson amempeleka Mbunge wa Kisesa (CCM), Luhaga Mpina katika Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge kwa kosa la kumdharau yeye na Bunge. Juni 4, 2024 wakati wa mjadala wa makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Fedha kwa mwaka 2024, Mpina alitoa…

Read More