Admin

Yanga hakuna kulala,Gamondi awapa mastaa programu maalumu

KOCHA mkuu wa Yanga, Miguel Gamondi, hana mchezo mchezo, kila mchezaji atakaporejea kutoka mapumziko atalazimika awe katika ufiti unaotakiwa, kutokana na programu alizowapa. Gamondi amegawa programu, kulingana na kile walichokifanya wachezaji msimu ulioisha, wapo ambao watachukua muda mrefu katika mapumziko na wale ambao watatakiwa wafanye kazi ya ziada kujiweka fiti, ili msimu mpya utakapoanza wawe…

Read More

Lissu: Wananchi wanalalamika kuporwa ardhi

Dar es Salaam. Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)- Bara, Tundu Lissu ametaja changamoto kubwa tatu zilizojitokeza kwenye mikutano yake 17 ya hadhara aliyoifanya mkoani Singida  ikiwemo unyang’anyi wa ardhi wa kutisha. Nyingine zilizojitokeza katika ziara hiyo iliyoanza tangu Juni Mosi, 2024 ni unyonyaji unaofanya na baadhi ya watumishi wa umma kwa…

Read More

Ummy: Tuzingatie ushauri kabla ya kutumia dawa

Dar es Salaam. Serikali imeeleza kuwa matumizi yasiyo sahihi ya dawa ndiyo chanzo  cha usugu wa vimelea dhidi ya dawa (Uvida). Hayo yamesemwa na Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu alipokuwa akizungumzia kampeni inayoendelea nchini ya kukabiliana na Uvida, iliyopewa jina ‘Holela-Holela itakukosti’. Kampeni hiyo ilizinduliwa jijini hapa mwishoni mwa Mei mwaka huu kwa uratibu wa…

Read More

ACB yawafunda watumishi wa umma elimu ya fedha

Na Mwandishi Wetu, Dodoma Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Akiba (ACB), Silvest Arumasi amesema wataendelea kutoa elimu ya fedha kwa wananchi ili waweze kufanya maamuzi sahihi kuhusu mahitaji ya huduma za kibenki. Akizungumza wakati wa hafla iliyohusisha viongozi na watumishi kutoka wizara, taasisi na ofisi mbalimbali za Serikali jijini Dodoma amesema Akiba Commercial Bank Plc…

Read More