Yanga hakuna kulala,Gamondi awapa mastaa programu maalumu
KOCHA mkuu wa Yanga, Miguel Gamondi, hana mchezo mchezo, kila mchezaji atakaporejea kutoka mapumziko atalazimika awe katika ufiti unaotakiwa, kutokana na programu alizowapa. Gamondi amegawa programu, kulingana na kile walichokifanya wachezaji msimu ulioisha, wapo ambao watachukua muda mrefu katika mapumziko na wale ambao watatakiwa wafanye kazi ya ziada kujiweka fiti, ili msimu mpya utakapoanza wawe…