Admin

TTPHPA kuongeza nguvu mikoa inayovamiwa na visumbufu mimea

Arusha. Mamlaka ya Afya ya Mimea na Viuatilifu Tanzania (TPHPA) inatarajia kuongeza nguvu katika mikoa inayoonekana kuvamiwa zaidi na visumbufu mimea hasa wadudu na ndege waharibifu, ili kukabiliana na hasara wanayoipata kutokana na uharibifu wa mazao unaofanywa na wadudu pamoja na ndege hao. Hayo yamebainishwa leo Juni 17, 2024 na Mkurugenzi Mkuu wa TPHPA, Profesa…

Read More

MATHIAS CANAL AUNGA MKONO JUHUDI ZA MBUNGE BASHUNGWA//ACHANGIA MIL 1 KWA AJILI YA MADAWATI S/M KIGASHA

Na Mwandishi Wetu,  Karagwe. Kufuatia juhudi zinazofanywa na Mbunge wa Jimbo la Karagwe Mhe Innocent Bashungwa katika kuimarisha sekta ya elimu ikiwemo ujenzi wa shule mpya ya msingi ya Kigasha, Mwandishi wa habari Ndg Mathias Canal amechangia Shilingi Milioni 1 kwa ajili ya madawati. Mathias amechangia madawati hayo mara baada ya kutembelea shule hiyo iliyopo…

Read More

Familia za Wapalestina kuangamizwa Gaza – DW – 17.06.2024

Uchunguzi huo umebaini kwamba maangamizi hayo yamefikia kiwango ambacho hakijawahi kuonekana.  Uchunguzi huo wa shirika la habari la AP umeelezea kwamba mashambulizi ya anga na ya ardhini yanayofanywa na jeshi la Israeli katika operesheni yake kwenye Ukanda wa Gaza yanasababisha maafa kwa sababu wakati mwingine familia nzima inaangamia hadi kufikia vizazi vinne pale familia hizo…

Read More

Shida ya maji inavyowanufaisha wengi

Dar es Salaam. Wananchi ambao hawajaunganishwa na mtandao wa maji mkoani Dar es Salaam wanapitia maumivu wakilazimika kupata huduma hiyo kwa gharama kubwa. Wakati uniti moja ya maji (lita 1,000, sawa na ndoo 50 za lita 20) ikiuzwa Sh1, 663 na mamlaka husika, wafanyabiashara wa maji wanayauza kwa Sh15, 000 wanapoyafikisha kwa mteja. Bei ya…

Read More