Temeke yaunda mabaraza kukabili ukatili kwa watoto
Dar es Salaam. Ili kukabiliana na vitendo vya ukatili kwa watoto, Halmashauri ya Manispaa ya Temeke, imeunda mabaraza 102 katika mitaa yake. Kupitia mabaraza hayo watoto katika mitaa husika wanakutana na kujadiliana kwa pamoja kuhusu changamoto zinazowakabili na kupatiwa elimu ya namna ya kukabiliana nazo. Hayo yameelezwa leo Jumapili ya Juni 16, 2024 na Meya…