Admin

Mabosi wapya soka la wanawake waahidi neema

CHAMA cha soka la Wanawake Mkoa wa Mbeya (MWFA) kimeahidi kusimamia vyema soka hilo kuhakikisha kinaibua na kuendeleza vipaji vya wanawake mkoani humo na kufikia kiwango cha ushindani. Mbeya licha ya kusifika kwa soka, lakini haijawahi kuwa na timu ya Ligi Kuu kwa Wanawake, huku daraja la Kwanza napo ikiwa ni kusuasua kwa timu zake…

Read More

Waziri Mkuu wa Tanzania Mh KASSIM MAJALIWA amesema uwepo wa kiwanda cha kutengeneza virutubishi vya vyakula

Waziri Mkuu wa Tanzania Mh KASSIM MAJALIWA amesema uwepo wa kiwanda cha kutengeneza virutubishi vya vyakula hapa nchini utasaidia kuimarisha afya za watoto na kupunguza vichwa vikubwa huku serikali ikiendelea kuhamasisha matumizi ya vyakula vyenye virutubishi. Waziri Mkuu ameyasema hayo wakati akifungua kiwanda kipya na cha pili barani Afrika cha kuzalisha virutubishi vya vyakula pamoja…

Read More

‘Wanandoa timizeni wajibu kwa kupeana tendo la ndoa’

Iringa. Tatizo la wanandoa kushindwa kupeana tendo la ndoa limetajwa kuleta madhara kazini kutokana na wafanyakazi wengi kwenda kazini  wakiwa na hasira na chuki zinazotokana na kutoridhishwa kimwili. Mkuu wa dawati la jinsia mkoani Iringa, Elizabeth Swai amesema migogoro mingi inayotokea maeneo ya kazi inatokana na wanandoa kutotimiza wajibu wao wa kupeana tendo la ndoa….

Read More

CHEZA NA MWANAO KAMA UNAVYOCHEZA NA SIMU YAKO

Cheza na mwanao kama unavyocheza na simu yako, kama unvyoipenda simu yako na pia mpende mwanao kama unavyoipenda simu yako kwani ulawiti na ubakaji unafanyika majumbani, mashulei na mitaani bila kujali anasoma shule gani na ukigundua anafanyiwa ukatili chukua hatua mara moja bila kujali hata kama ni ndugu yako aliyefanya ukatili na kufanya hivyo utakuwa…

Read More

Tabora United yabaki Ligi Kuu, yaizima Biashara kibabe

KAZI imeisha! Baada ya Tabora United jioni ya leo Jumapili kufanya kweli ikiwa nyumbani kwenye Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi, mjini Tabora kwa kuinyoosha Biashara United kwa mabao 2-0 na kujihakikisha kusalia katika Ligi Kuu Bara kwa msimu ujao. Tabora ilipata ushindi huo unaoifanya iizuie Biashara Utd kurejea Ligi Kuu katika pambano la marudiano ya…

Read More

KASEKENYA AAGIZA KUWEKWA ALAMA ZA TAHADHARI  MLIMA BUSUNZU

Naibu Waziri wa Ujenzi, Eng. Godfrey Kasekenya amemuagiza Meneja wa Wakala wa Barabara (TANROADS) Mkoa wa Kigoma kwa kushirikiana na Mkandarasi STECOL kuhakikisha wanaweka alama za tahadhari na kukagua mara kwa mara eneo la  Mlima Busunzu sehemu ilipotokea changamoto ya kuharibika kwa kipande cha barabara chenye urefu wa takriban mita 100, wakati  wakisubiri utatuzi wa…

Read More

Hemed awakumbusha wazazi kuwalinda watoto kwenye sikukuu

Unguja. Wakati Waislamu wakishehereka sikukuu ya Iddi, Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Hemed Suleimana Abdulla amewataka wazazi na walezi kuwavalisha watoto wao nguo zenye stara wakati wa kusherehekea sikuku hiyo. Hemed ametoa kauli hiyo leo Jumapili Juni 16, 2024 wakati akizungumza na waumini na wananchi katika msikiti wa Mwembeshauri Mkoa wa Mjini Magharibi….

Read More

Prisons Queens waipania WRCL | Mwanaspoti

LIGI ya Mabingwa wa Mikoa kwa Soka la Wanawake (WRCL) inatrajiwa kuanza Jumatano jijini Dodoma, huku Tanzania Prisons Queens imesema wapo tayari kupambania nafasi ya kupanda daraja la kwanza. Ligi hiyo inashirikisha timu 19 kutoka baadhi ya Mikoa, ambapo timu mbili za juu zitapanda Daraja la Kwanza kwa ajili ya msimu ujao kutafuta nafasi ya…

Read More