‘Watumishi ZRA, tendeni haki jiepushe na rushwa’
Unguja. Watumishi wa Mapato Zanzibar (ZRA) wametakiwa kufanya kazi kwa weledi na kuepuka rushwa katika kazi zao za ukusanyaji wa mapato. Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya ZRA, Profesa Hamed Rashid Hikmany, ametoa kauli hiyo Juni 16, 2024 kwenye semina maalumu ya watumishi wa mamlaka hiyo kuhusu maadili kwa watumishi wa umma na kupambana na…