Admin

SportPesa Tanzania yasaini upya udhamini wa Yanga: Mashabiki waupokea kwa shangwe ushirikiano huu mkubwa

Harakati kubwa kwenye anga la michezo nchini Tanzania ni huu si uvumi tu, bali ni uthibitisho wa dhamira ya kweli. Kupitia SportPesa Tanzania, kampuni inayoongoza michezo ya kubashiri kidijitali barani Afrika, imeimarisha nafasi yake si tu kwenye uwanja wa burudani, bali pia kwenye mustakabali wa soka la Tanzania. Hii ni zaidi ya mkataba; ni makubaliano…

Read More

Mkurugenzi Mtendaji MCL Rosalynn ahimiza ushirikiano kufikia malengo Dira 2050

Mkurugenzi Mtendaji Mwananchi Communications Limited (MCL), Rosalynn Mndolwa-Mworia amesema ushirikiano ni nguzo muhimu katika dhumuni la ubunifu wa kidijitali, kulinda mazingira yetu na kuwawezesha watu kuelekea mwaka 2050. Ameyasema hayo leo Jumanne, Agosti 26, 2025 kwenye uzindunzi wa mfumo jumuishi wa Mazingira, Kijamii na Utawala (ESG) wa Kampuni ya Mawasiliano ya Vodacom Tanzania inayoshirikiana na…

Read More

Mrithi wa Kagere aahidi makubwa Namungo

MSHAMBULIAJI mpya wa Namungo, Herbert Lukindo amesema amejipanga vyema kuhakikisha anafanya vizuri na kikosi hicho na kuziba pengo la baadhi ya nyota walioondoka klabuni hapo akiwemo Meddie Kagere. Lukindo amejiunga na Namungo kwa mkataba wa mwaka mmoja akitokea KenGold ya Mbeya iliyoshuka daraja kutoka Ligi Kuu msimu uliopita. Namungo imesafisha kikosi chake dirisha kubwa ikiachana…

Read More

Mgunda aongeza nguvu kambi ya Namungo

KOCHA wa Namungo, Juma Mgunda anajiandaa kutua kambini jijini Dodoma ikiwa ni siku chache tangu atoke katika majukumu ya timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars ili kuendelea na programu za kujiandaa na msimu mpya. Katibu wa timu hiyo, Ally Seleman alisema  Mgunda atajiunga na kambi iliyopigwa Dodoma na wachezaji walishaanza kufanya mazoezi chini ya…

Read More

Dira ya 2050 ndani ya jicho la wadau wa elimu

Dar es Salaam. Wadau wa elimu nchini wameendelea kuitazama Dira ya Maendeleo ya Taifa ya 2050 kwa jicho la matumaini makubwa, hasa katika nguzo ya pili inayohusu “Uwezo wa Watu na Maendeleo ya Jamii”. Kwa mujibu wa dira  hiyo, elimu ni injini kuu ya maendeleo ya watu na jamii, na hivyo uwekezaji wake unaelekezwa katika…

Read More

Mbeya City yashusha mido Mnigeria

Mbeya City iko katika hatua za mwisho za kukamilisha usajili wa kiungo raia wa Nigeria, Paschal Onyedika Okoli, ikiwa ni harakati za kukisuka kikosi hicho kwa msimu wa 2025-2026, kwa lengo la kuongeza na kuleta ushindani zaidi. Nyota huyo aliyezaliwa Oktoba 17, 1997, anakaribia kukamilisha dili hilo baada ya kuachana na Klabu ya NK Celik…

Read More

Sillah ashindwa kujizuia kwa Tepsie

WINGA wa zamani wa Azam FC, Gibril Sillah ameshindwa kujizuia na kummwagia sifa nyota wa timu hiyo, Tepsie Evans akisema makali na kipaji kikubwa alichonacho kitakuwa msaada mkubwa kwa kikosi hicho baada ya kuondoka kwake. Azam chini ya kocha Florent Ibenge imekita kambi jijini Kigali, Rwanda kwa ajili ya maandalizi ya msimu mpya na imecheza…

Read More

Shule zisaidie kufundisha watoto uzalendo

Dar es Salaam. Uzalendo ni moyo wa kuipenda nchi yako, kuithamini, na kuwa tayari kujitoa kwa ajili ya maendeleo na ustawi wa taifa lako. Ni thamani inayojengwa na kuendelezwa kwa makusudi, si jambo la kimaumbile tu. Katika hali ya sasa ambapo taifa linakumbwa na changamoto nyingi za kimaadili, kiuchumi na kijamii, ipo haja ya dharura…

Read More