Admin

Tume ya Madini yajipanga kukusanya Sh Trilioni 1.

Wakati Bajeti Kuu ya Serikali ikitarajiwa kuwasilishwa kesho, Menejimenti ya Tume ya Madini imetakiwa kufanya kazi kwa weledi, umoja na mshikamano ili kufikia lengo la Serikali la makusanyo ya shilingi Trilioni moja kutoka Sekta ya Madini kwa mwaka wa fedha 2024/2025. Hayo yamesemwa na Katibu Mtendaji wa Tume ya Madini Mhandisi Yahya Samamba katika ufunguzi…

Read More

RAIS SAMIA AIPA TANROADS BIL 431.4 KUTEKELEZA MIRADI YA UJENZI WA MIUNDOMBINU MKOANI KAGERA

Na Mathias Canal, Kagera Wakala wa Barabara “TANROADS” Mkoani Kagera inasimamia mtandao wa barabara wenye jumla ya kilomita 1,966.29. Kati ya hizo barabara kuu ni Kilomita 861.59, barabara za mkoa ni kilomita 1,053.75 na barabara za wilaya ni kilomita 50.95. Hayo yameelezwa na Meneja wa Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS) Mhandisi Ntuli John Mwaikokesya mara…

Read More

Yaliyojiri safari ya kwanza treni ya umeme Dar-Morogoro

Dar/Morogoro. Ilikuwa safari ya dakika 114 zenye bashasha, abiria zaidi ya 600 wakiwa kwenye mabehewa 14 ya treni ya umeme iliyoanza safari ya kwanza leo Juni 14, 2024 ikiongozwa na nahodha, Ahazi Mfupa. Treni iliondoka Dar es Salaam saa 12:01 asubuhi na kuwasili Morogoro saa 1:55 asubuhi. Mkurugenzi wa Shirika la Reli Tanzania (TRC), Masanja…

Read More

Wanaume na hatari ya saratani ya koo

Dar es Salaam. Iwapo unapenda vilevi, ikiwemo pombe kali, nyama choma, sigara, pilipili na mapenzi ya kwa njia ya mdomo, unajiweka hatarini kupata ugonjwa wa saratani ya koo. Kwa mujibu wa wataalamu wa afya, tafiti zinaonyesha wanaume wana uwezekano wa kupata saratani ya koo mara tatu zaidi ya wanawake. Saratani hii ambayo hutokea nyuma ya…

Read More