RC BALOZI BATILDA ATAKA HOJA YA CAG ZIJIBIWE KABLA YA JUNI 30
MKUU wa Mkoa wa Tanga Balozi,Dkt Batilda Burian akizungumza wakati akifungua kikao kikao cha Baraza Maalumu la kujadili Hoja ya Mkaguzi Mkuu wa Serikali (CAG) la Halmashauri ya wilaya ya Mkinga Na Oscar Assenga, MKINGA. MKUU wa Mkoa wa Tanga Balozi,Dkt Batilda Burian amehudhuria Baraza maalumu la Madiwani la hoja ya Mkaguzi Mkuu wa Serikali(CAG)…