Admin

VIDEO: Polisi Moshi wadaiwa kuua mtuhumiwa kwa kipigo

Moshi. Kilio cha washukiwa wa uhalifu kufariki mikononi mwa polisi, kinazidi kulitikisa Jeshi la Polisi, baada ya kutokea tukio mkoani Kilimanjaro, kwa mkazi wa Kijiji cha Mvuleni Newland, Wilaya ya Moshi, Joseph Zakayo, kudaiwa kuuawa kwa kipigo. Taarifa kutoka kwa baadhi ya ndugu na kutoka ndani ya Jeshi la Polisi, zinadai kuwa mtuhumiwa huyo wa…

Read More

Al Ittihad wapo katika hatua za juu za mazungumzo ya kutaka kumsajili Nacho Fernández kama mchezaji huru kutoka Real Madrid.

Kwa mujibu wa ripoti za hivi punde kutoka L’Équipe, Al Ittihad inamfuatilia kwa dhati beki huyo wa kimataifa wa Uhispania, ambaye atakuwa mchezaji huru mara tu mkataba wake na Real Madrid utakapomalizika mwishoni mwa Juni. Klabu ya Saudi Arabia inaripotiwa kuongoza katika kinyang’anyiro cha kupata saini ya Nacho, huku mazungumzo yakiendelea kati ya pande hizo…

Read More

Mabadiliko ya kikokotoo yawakuna wabunge

Dar/Dodoma. Baada ya kilio kuhusu kikokotoo cha mafao ya wastaafu kusikika baadhi wa wabunge, wamepongeza hatua hiyo wakisema ni nzuri japokuwa walitarajia zaidi. Kauli hizo za wabunge zinafuatia hatua ya Serikali kuongeza fao la mkupuo watakalolipwa wastaafu kwa asilimia mbili kwa baadhi yao na wengine asilimia saba. Ongezeko la fao hilo la mkupuo linajibu vilio…

Read More

RC SINGIDA AGOMEA KUZINDUA BWENI

-Kutokana na umaliziaji wake ni chini kiwango Na Mwandishi Wetu ,Singida Mkuu wa Mkoa wa Singida Halima Dendego, amekataa kuzindua bweni la Wanafunzi wa kike katika shule ya Sekondari Mtekente iliyopo Wilayani Iramba baada ya kubaini kuwa ujenzi huwa wa bweni pamoja na jiko yaliyojengwa na Kampuni inayojishughulisha na ununuzi wa pamba Biosustain mkoani humo…

Read More

Nchi za Afrika Mashariki zaongeza bajeti

Dar es Salaam. Mawaziri wa Fedha wa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC),leo wamewasilisha bajeti kwenye mabunge ya mataifa yao,  huku Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) ikikadiria ukuaji wa uchumi kwenye ukanda huo kutoka asilimia 3.5 mwaka jana hadi asilimia 5.1 mwaka huu na asilimia 5.7 mwaka 2025. EAC inaundwa na nchi nane…

Read More

BALOZI NCHIMBI BUNGENI AKIFUATILIA BAJETI

Matukio mbalimbali katika picha, yakimuonesha Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk Emmanuel John Nchimbi, akiwa ndani na nje ya Ukumbi wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kabla, wakati na baada ya kuwasilishwa kwa Bajeti Kuu ya Serikali iliyosomwa na Waziri wa Fedha, Ndugu Mwingulu Lameck Nchemba, leo Alhamis, Juni 13,…

Read More

Wafanyabiashara 42 wa Comoro kushiriki maonyesho ya Sabasaba 2024

Dar es Salaam. Wafanyabiashara 42 kutoka nchini  Comoro , wanatarajiwa kushiriki maonyesho ya 48 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam, maarufu Sabasaba.Maonyesho hayo hufanyika kila mwaka katika viwanja vya Mwalimu Nyerere  jijini Dar es Salaam , ambapo taasisi, mashirika na kampuni mbalimbali huwa zikionyesha na kutangaza  bidhaa na huduma inazozitoa. Katika taarifa yake…

Read More

KUELEKEA SIKU YA KIMATAIFA YA MTOTO WA AFRIKA SERIKALI, WADAU WAFUNGUKA KUHUSU MAADILI, ULINZI WA MTOTO

* Ubalozi wa Ufaransa, Serikali na Wadau kuwakutanisha watoto, kusikiliza maoni yao Juni 16 Na Leandra Gabriel, Dar es Salaam KATIKA Kuadhimisha siku ya kimataifa ya mtoto wa Afrika inayoadhimishwa Juni 16 kila mwaka, Wazazi na jamii kwa ujumla wametakiwa kushirikiana katika ulinzi wa mtoto kwa kuhakikisha wanatenga muda wa kuzungumza na watoto na kufahamu…

Read More