Admin

Bajeti 2024/25 ipunguze matumizi ya taslimu kuongeza mapato

Wakati mapendekezo ya Bajeti ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2024/2025 yanasomwa leo, moja ya matarajio ni ya wadau ni kuunda sheria ya kupunguza matumizi ya fedha taslimu nchini. Pia, inatarajiwa Serikali itakuja na mkakati wa kupunguza utitiri wa kodi kama zilivyolalamikiwa na wabunge. Wabunge kadhaa, ikiwamo Kamati ya Bunge ya Bajeti wanatarajia ushauri wao…

Read More

TPDC yaimarisha huduma za kijamii katika maeneo ya Gesi Asilia

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) linaendelea kuunga mkono juhudi za Serikali katika kuboresha huduma za kijamii kwenye maeneo ambako shughuli za utafutaji, uzalishaji, usafirishaji na usambazaji wa gesi asilia zinafanyika. Huduma mbalimbali za kijamii kama afya, elimu, maji na utawala bora zinaimarishwa kama sehemu ya Uwajibikaji wa Shirika…

Read More

Mkutano wa kilele wa G7 unafungua pazia Italia – DW – 13.06.2024

Waziri Mkuu wa Italia Giorgia Meloni anaingia kwenye mkutano wa kilele wa G7 akiwa ameimarishwa na matokeo mazuri katika uchaguzi wa Ulaya Jumapili iliyopita. Italia ndiyo mwenyeji wa mkutano huo wa  “Grande Sette”, kama kundi la G7 linavyojulikana kwa Kiitaliano. Meloni mwenyewe alisaidia kuunda maelezo mengi mwenyewe wakati wa kuandaa “mkutano wake,” kama anavyouita. Mbali na…

Read More

‘Msibebe wagombea mifukoni, tendeni haki’

Iringa. Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Iringa, Daudi Yassin amesema ikiwa viongozi wataleta mizengwe kwenye chaguzi za ndani za CCM kuelekea uchaguzi wa Serikali za mitaa ni rahisi kushindwa. Amesema badala ya kubeba wagombea mifukoni wanatakiwa kuhakikisha kuwa wanatenda haki kwa kuwachagua wanachama wanaokubalika. Yassin amesema hayo katika ziara yake ya siku moja aliyoifanya leo…

Read More