MATOKEO YA UWEKEZAJI ,TPA YAVUNJA REKODI YA KUTOA GAWIO LA SHILINGI BILIONI 153.9 SERIKALINI
Na Mwandishi Wetu IKIWA ni miezi michache tu imepita mara baada ya maboresho ya uwekezaji mkubwa uliofanywa na kampuni mbili za kimataifa katika Bandari ya Dar es Salaam, tayari uwekezaji huo umeshazaa matunda. Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) imevunja rekodi kwa kutoa jumla ya Shilingi za Kitanzania 153.9 Bln kama gawio kwa Serikali…