Admin

WAZIRI MKUU ATOA MAAGIZO KWA WATUMISHI WA UMMA

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewataka watumishi wa umma nchini kote wawatumikie wananchi ipasavyo na wahakikishe wanaondoa urasimu kwa kutowasumbua wananchi wanaokuja kupata huduma za kiserikali katika ofisi zao. “Epukeni tabia ya kuomba na kupokea rushwa, rushwa inaharibu maendeleo. Tusitumie maneno magumu kwa wananchi wetu maana eneo hili bado ni changamoto, tunalishughulikia au bado tupo kwenye…

Read More

ZEKICK: Mpole afunguka…yule na huyu wa sasa hivi

ALIYEKUWA mshambuliaji wa Geita Gold, George Mpole amerejea hapa nchini baada ya kumaliza mkataba wake wa miaka miwili aliousaini na kikosi cha FC Lupopo cha DR Congo alichojiunga nacho Desemba mwaka 2022 baada ya kuonyesha kiwango kizuri. Mpole ambaye anakumbukwa zaidi kutokana na kuibuka mfungaji bora wa Ligi Kuu Bara msimu wa 2021-2022 baada ya…

Read More

Bunge la Kongo laidhinisha serikali ya Waziri Mkuu Suminwa – DW – 12.06.2024

Wabunge waliidhinisha kwa uwingi mpango huo wa utekelezaji ambao vipaumbele vyake vimekusanywa katika nguzo sita. Nazo ni kujenga uchumi ili kuunda kazi na kulinda uwezo wa ununuzi, kulinda mamlaka ya kitaifa na usalama wa raia pamoja na mali zao, kuhakikisha upatikanaji wa huduma za msingi za kijamii, kuimarisha uwezo wa Wakongo kushiriki katika ujenzi wa nchi, kusimamia ipasavyo…

Read More

Reli ya Tazara kufumuliwa | Mwananchi

Dodoma. Naibu Waziri wa Uchukuzi, David Kihenzile amesema Serikali za Tanzania, Zambia na China ziko katika hatua za mwisho za mazungumzo ya kuifumua reli ya Tanzania na Zambia (Tazara) kwa lengo la kuiboresha. Kihenzile amesema jana Juni 11, 2024 bungeni wakati wa akijibu swali la nyongeza la Mbunge wa Mlimba, (CCM), Godwin Kunambi, aliyehoji ni…

Read More