Admin

Tume ya Madini yajipanga kukusanya Sh Trilioni 1

-Mhandisi Samamba ataka kuongeza weledi na umoja katika utendaji kazi TANGA Wakati Bajeti Kuu ya Serikali ikitarajiwa kuwasilishwa kesho, Menejimenti ya Tume ya Madini imetakiwa kufanya kazi kwa weledi, umoja na mshikamano ili kufikia lengo la Serikali la makusanyo ya shilingi Trilioni moja kutoka Sekta ya Madini kwa mwaka wa fedha 2024/2025. Hayo yamesemwa leo…

Read More

Ruto na urais wake, Gachagua Mlima Kenya, taifa njiapanda

Watu wawili, mmoja mwenye maarifa makubwa ya biashara, mwingine alibeba mtaji mkubwa, waliungana kusaka mafanikio waliyonayo hivi sasa. Wakiwa kileleni, kila mmoja anajiona ndiye nguzo kuu ya mafanikio. Mwenye mtaji anajinasibu kuwa kwa maarifa yake, angeweza kuungana na yeyote mwenye mtaji na kufikia mafanikio waliyonayo. Aliyebeba mtaji, yeye anaona bila yeye hakuna ambacho kingewezekana. Kadiri…

Read More

THBUB YAKUTANA NA KATIBU TAWALA TABORA

Leo Juni 12, 2024 Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) imekutana na Kufanya mazungumzo na Katibu Tawala Mkoa wa Tabora Dkt John Mboya. Ujumbe wa THBUB uliongozwa na Mhe.Mohamed Khamis Hamad, Makamu Mwenyekiti wa THBUB. Katika ziara hiyo Mhe. Mohamed aliambatana na Mkurugenzi Msaidizi na Maafisa wa THBUB. Mhe.Mohamed alieleza kuwa lengo…

Read More

Ujenzi wa vyuo vya ufundi kuanza Ushetu

Serikali imesema kuwa kuanzia mwaka wa fedha 2024/2025 imeadhimia kujenga vyuo vya fundi katika majimbo na maeneo yote ambayo hakuna Vyuo vya ufundi na Veta. Akiongea bungeni jijini Dodoma Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Mh.Omary Kipinga wakati akijibu swali la Mbunge wa jimbo la Ushetu Emmanuel Cherehani alilouliza “ni lini Serikali itaanza ujenzi…

Read More

Ziara ya Dk Nchimbi mikoani na maagizo kwa mawaziri 11

Ziara ya wajumbe wa Sekretarieti ya Chama cha Mapinduzi (CCM) katika mikoa mitano imewaweka mtegoni mawaziri 11 wanaopaswa kutekeleza kero za wananchi na maelelezo ya viongozi hao wa chama tawala. Wajumbe hao wakiongozwa na Katibu Mkuu wa CCM, Dk Emmanuel Nchimbi wamefanya ziara mikoa ya Singida, Manyara, Kilimanjaro, Arusha na Tanga kuanzia Mei 29 na…

Read More