Admin

Serikali yamaliza mgogoro wa ardhi wa muda mrefu

Dodoma. Serikali ya Tanzania imemaliza mgogoro wa muda mrefu wa ardhi kati ya Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania (Tanapa), Kitulo,  Wakala wa Huduma za Misitu (TFS) na wananchi wa kata za Ilungu, Igoma na Inyala. Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Dustan Kitandula ameyasema hayo leo Juni 12, 2024 wakati akijibu swali la msingi…

Read More

Mahitaji ya umeme yamefikia asilimia 15 kwa mwaka

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko mahitaji ya umeme Tanzania yameongezeka kutoka asilimia 10 hadi 15 kwa mwaka kutokana na kuongeza kwa mahitaji, wateja na shughuli za kiuchumi. Amesema ongezeko hilo pia limetokana kuongezeka kwa vyanzo vya umeme vinavyotegemewa ambavyo ni maji yanayochangia asilimia 39, gesi asılıa inayochangia asilimia 56.1, mafuta…

Read More

BAHATI NI YAKO LEO! EXPANSE NA MERIDIANBET KUKUFURAHISHA

MERIDIANBET wanaendeleza ubabe wao, na leo nakuletea ile Promosheni pendwa ya kujichukulia Maokoto, Shindano la Expanse ambapo ukicheza michezo ya kasino ya mtandaoni kutoka EXPANSE utajiweka kwenye nafasi ya kushinda Mamilioni leo. Jisajili sasa kuwa moja ya washindi. Shindano la Expanse Meridianbet litatoa zawadi na bonasi za kasino kwa washindi 40 pekee, ambao watakuwa na…

Read More

Mtoto wa Rais Biden akutwa na hatia, asubiri hukumu

Delaware. Mtoto wa Rais wa Marekani, Hunter Biden amepatikana na hatia kwa mashitaka yote yanayohusiana na matumizi ya dawa za kulevya na umiliki wa silaha kinyume cha sheria. Kwa makosa hayo  huenda adhabu yake ikawa kifungo cha miaka 25 jela, ingawa wataalamu wanasema muda huo ni nadra sana kutokea.  Hatua hiyo inamfanya kuwa mtoto wa…

Read More