REA HAINA BAYA NA MTU SIKU HIZI KIJIJINI KAMA MJINI TU…WANANCHI WANAINJOI SANA
Na Said Mwishehe,Michuzi TV LEO naomba unipe nafasi kidogo tuzungumze kuhusu Wakala wa Nishati Vijijini (REA) ambayo ni taasisi ya serikali ya Tanzania iliyoanzishwa chini ya Wizara ya Nishati. Jukumu namba moja la REA ni kusimamia na kurahisisha upatikanaji wa nishati bora na ya uhakika (hasa umeme) katika maeneo ya vijijini ili kuchochea maendeleo ya…