
Raizin ataka 10 zaidi Bara
MSHAMBULIAJI wa Mtibwa Sugar, Raizin Hafidh amesema malengo aliyojiwekea msimu huu katika kikosi hicho ni kufunga zaidi ya mabao 10, huku akidai endapo atatimiza hayo itakuwa ni njia nzuri kwake kuwa na mwendelezo mzuri. Mshambuliaji huyo ambaye alikuwa sehemu ya kuirudisha Mtibwa Sugar katika Ligi Kuu Bara alimaliza Championship akiwa kinara wa upachikaji wa mabao…