UTEKELEZAJI WA MPANGO JUMUISHI WA WAHUDUMU WA AFYA NGAZI YA JAMII WAANZA RASMI KATIKA MKOA WA PWANI
Mhe Abubakari Kunenge Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Serikali ya Awamu ya Sita (6) inayoongozwa na Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeanza rasmi utekelezaji za Mpango Jumuishi wa Wahudumu wa Afya Ngazi ya Jamii. Hayo yamesemwa Juni 10,2024 na Mhe Abubakari Kunenge Mkuu wa Mkoa wa Pwani katika Semina…