HOSPITALI YA TEMEKE YAFANIKISHA UPATIKANAJI WA DAWA KWA ASILIMIA 98
Dar es Salaam, Hospitali ya Mkoa Temeke inaendelea kujivunia mafanikio katika upatikanaji wa dawa na vifaa tiba, hali ambayo imeboresha huduma kwa wagonjwa. Katika kipindi cha mwaka mmoja na nusu uliopita, hospitali imefanikiwa kufikia upatikanaji wa dawa kwa asilimia 98% kwa bidhaa takribani 500, huku dawa muhimu zote zikifikia upatikanaji wa asilimia 100%. Mganga Mfawidhi…