Admin

CCM yasisitiza umuhimu wa kukuza sekta binafsi na uwekezaji

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM)kimesema kwamba hakutakuwa na mabadiliko ya kweli katika kukuza uchumi wa nchi, endapo sekta binafsi hazitapewa kipaumbele katika uwekezaji nchini. Hayo yamesemwa jijini Tanga na Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi alipokuwa akizindua Kiwanda cha kuzalisha nyaya za umeme na kupeleka umeme Vijijini cha Tanga Cable kilichopo…

Read More

Samia amtumbua RC aliyedaiwa kulawiti

Rais Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa viongozi mbalimbali akiwemo aliyekuwa mkuu wa wilaya ya Momba, Kenan Laban Kihongosi kuwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu. Kihongosi amechukua nafasi ya Dk. Yahaya Ismaili Nawanda ambaye uteuzi wake umetenguliwa. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Utenguzi wa Dk. Nawanda umekuja siku moja baada ya taarifa kusambaa katika mitandao…

Read More

Stars, Zambia haina kujuana leo kazi kazi

STAA wa Taifa Stars, Mohammed Hussein ‘Tshabalala’ amewaambia mashabiki kwamba mechi ya leo jioni dhidi ya Zambia katika Uwanja wa Levy Mwanawasa nchini humu; “haina kujuana.” Amesisitiza kwamba anaamini hakutakuwapo na mabadiliko ya kutisha sana kwenye kikosi cha  Zambia na wao kama wachezaji wanajua pakuanzia na wameshaifanyia kazi kubwa mechi hiyo ya kuwania kufuzu Kombe…

Read More

Aziz KI avunja ukimya ishu yake Yanga, aanika usajili wa Dube

KIUNGO wa Yanga, Stephane Aziz KI, amevunja ukimya juu ya yeye kuendelea kusalia ndani ya kikosi hicho, huku akifichua jambo kubwa kumuhusu straika Mzimbabwe, Prince Dube aliyekuwa akiitumikia Azam. Aziz KI amesema msimu ujao atakuwa ndani ya Yanga kuhakikisha anawasaidia washambuliaji kuwania tuzo ya ufungaji bora. KI amebainisha kwamba, katika kuwasaidia washambuliaji hao, mmoja kati…

Read More

Bayern wanataka kumnunua Colwill wa Chelsea huku Kompany akionekana kuimarisha safu yake ya ulinzi.

Beki wa Chelsea Levi Colwill ameonekana kuwindwa na Vincent Kompany katika klabu ya Bayern Munich. Bayern wanamtaka Jonathan Tah kutoka kwa wapinzani wao Bayer Leverkusen na wameanzisha mazungumzo lakini mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 28 ana nia ya kujiunga, licha ya kuwa na jukumu muhimu huku kikosi cha Xabi Alonso kikisalia bila kushindwa kuelekea…

Read More

Hat trick ya 7 yapigwa Zenji, Uhamiaji ikiizamisha Kipanga

LIGI Kuu ya Zanzibar (ZPL) iliyopo ukingoni imeendelea tena jioni ya leo, ikishuhudiwa hat trick ya saba ikifungwa visiwani humo, wakati Uhamiaji ikiizamisha Kipanga kwa mabao 3-2 katika mechi kali iliyopigwa kwenye Uwanja wa Amaan A, mjini Unguja, huku Malindi ikitakata mbele ya Mafunzo kwa bao 1-0. Mchezaji aliyeingia katika orodha ya watupia hat trick…

Read More