Admin

PROF.LOKINA AFUNGUA KONGAMANO LA POLLEN2024 JIJINI DODOMA

  NAIBU Makamu Mkuu Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) Taaluma, Utafiti na Ushauri Prof. Razack Lokina ,akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kufungua  Kongamano la Mtandao wa Ekolojia ya Kisiasa POLLEN2024, linalolenga kushughulikia migogoro ya kijamii na kiikolojia katika kuchunguza njia za kufikia mustakabali wenye haki na utofauti zaidi. NAIBU Makamu Mkuu Chuo…

Read More

Wizara ya fedha kukusanya Sh4.9 trilioni mwaka 2024/25

Unguja. Wizara ya Fedha na Mipango Zanzibar inakadiria kukusanya Sh4.9 trilioni mwaka wa fedha 2024/25 sawa na ongezeko la asilimia 77 ikilinganishwa na makadirio ya kukusanya Sh2.76 trilioni yaliyopangwa kukusanywa mwaka wa fedha 2023/24. Hayo yamebainishwa Juni 10, 2024  na Waziri wa Fedha na Mipango, Dk Saada Mkuya wakati akiwasilisha makadirio ya mapato na matumizi ya…

Read More

KUKAYA -MIONO YAPOKEA MABATI 72 KUTOKA REFUELLING SOLUTION (T) LTD KWA AJILI YA MADARASA MAWILI S/M MIONO

    Na Mwamvua Mwinyi, Bagamoyo  KIKUNDI cha KUKAYA -Miono , Chalinze ,Wilayani Bagamoyo, Mkoani Pwani, kimepokea mabati 72 kutoka kampuni ya Refuelling Tanzania Limited, kwa ajili ya ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa ya shule ya msingi Miono. Akipokea mabati hayo kwa niaba ya kikundi cha KUKAYA MIONO ,Mwenyekiti Omary Mtiga ameishukuru kampuni ya…

Read More

PROF.LUKINA AFUNGUA KONGAMANO LA POLLEN2024 JIJINI DODOMA

  NAIBU Makamu Mkuu Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) Taaluma, Utafiti na Ushauri Prof. Razack Lukina ,akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kufungua  Kongamano la Mtandao wa Ekolojia ya Kisiasa POLLEN2024, linalolenga kushughulikia migogoro ya kijamii na kiikolojia katika kuchunguza njia za kufikia mustakabali wenye haki na utofauti zaidi. NAIBU Makamu Mkuu Chuo…

Read More

Jafo: Miti milioni 266 imepangwa

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Dk. Selemani Jafo amesema hadi kufikia Machi 2024 miti milioni 266 imepandwa katika mamlaka za Serikali za mitaa Tanzania Bara. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Dk. Jafo amesema hayo wakati akijibu maswali bungeni jijini Dodoma leo Jumatatu ambapo amebainisha kati ya hiyo, miti milioni…

Read More

Serikali kuwasomesha wahudumu wa afya ngazi ya jamii

Kibaha. Serikali imekuja na mpango maalumu wa kuwanoa wahudumu wa afya ngazi ya jamii, lengo wawe na ujuzi utakaowawezesha kutekeleza majukumu yao kwa mfumo mmoja tofauti na ilivyo sasa. Wahudumu wa afya ya jamii wamekuwa wakipatikana kwa kupewa mafunzo na mashirika yasiyokuwa ya kiserikali na wengine na halmashauri kulingana na mahitaji yaliyopo kwa wakati huo,…

Read More