Admin

Mativila ang’aka miradi ujenzi kutokamilika kwa wakati atoa maagizo

Naibu Katibu Mkuu anayesimamia Miundombinu katika Ofisi ya Rais – TAMISEMI, Mhandisi Rogatus Mativila amewaagiza wahandisi washauri wanaosimamia miradi mbalimbali ya miundombinu ya barabara nchini kusimamia kwa ukaribu miradi hiyo ili ikamilike kwa wakati. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Mhandisi Mativila ameyasema hayo leo tarehe 10 Juni 2024 wakati akikagua ujenzi wa jengo la ofisi…

Read More

Hamas yaitaka Marekani kuishinikiza Israel kusitisha vita – DW – 10.06.2024

Afisa huyo mwandamizi wa Hamas, Sami Abu Zuhri, ameutolea wito utawala wa Marekani kuzidisha shinikizo litakalowezesha kusitishwa kwa vita huko Gaza huku akisisitiza kuwa kundi hilo liko tayari kutathmini kwa nia njema mpango wowote utaofanikisha azma hiyo ya  kusitisha vita. Kabla ya Blinken kuelekea Israel katika ziara yake ya nane eneo hilo, atafanya kwanza ziara nchini…

Read More

Takukuru yaanza uchunguzi miradi ya maendeleo Arusha

Arusha. Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) Mkoa wa Arusha, imeanza uchunguzi kwa baadhi ya miradi inayotekelezwa katika wilaya sita za mkoa huo. Pia, Jeshi la Polisi hapa nalo limeshawahoji baadhi ya watu, wakiwemo watumishi kutoka halmashauri mbalimbali za mkoa huo, huku wengine wakihojiwa na mamlaka zao za kinidhamu. Uchunguzi huo unafanyika kutokana…

Read More

Hadithi za Waraibu wa Kamari, Wazazi wacharuka!

JANA katika muendelezo wa Ripoti Maalumu juu ya kadhia ya uraibu wa kamari na kubeti nchini tuliona namna michezo hiyo inavyozidi kukua, licha ya kuwa na atahri kubwa kiasi hadi viongozi wa kidini kutoa maoni yao ya kipi kifanyike kutokana na ukweli hata vitabu vitakatifu vinaeleza athari zake. Pia tuliona namna michezo hiyo inavyokuwa ngumu…

Read More

Dkt.Biteko ateta na viongozi wa CCM Bukombe

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Bukombe, Mhe. Dkt. Doto Biteko amesema kuwa uimara wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) unatokana na misingi iliyowekwa na waasisi ya kushirikisha wanachama wake kutoka ngazi ya balozi, kata hadi wilaya. Dkt. Biteko ameyasema hayo Juni 9, 2024 katika Wilaya ya Bukombe,…

Read More

Wasichana wanavyotumia ‘ndoa’ kutafuta uhuru na janga la talaka-2

Katika mijadala mingi, wazazi na wataalamu wa malezi wanakubaliana kuwa talaka inaweza kuwa na athari kubwa kwa watoto kwa sababu  wanapitia mabadiliko makubwa katika mazingira yao ya nyumbani yanayoweza kuwasababishia msongo wa mawazo, huzuni na wakati mwingine hata matatizo ya kiakili na kihisia. Tafiti zinaonyesha watoto wa wazazi waliotalakiana mara nyingi hukumbwa na changamoto kadhaa,…

Read More