Mativila ang’aka miradi ujenzi kutokamilika kwa wakati atoa maagizo
Naibu Katibu Mkuu anayesimamia Miundombinu katika Ofisi ya Rais – TAMISEMI, Mhandisi Rogatus Mativila amewaagiza wahandisi washauri wanaosimamia miradi mbalimbali ya miundombinu ya barabara nchini kusimamia kwa ukaribu miradi hiyo ili ikamilike kwa wakati. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Mhandisi Mativila ameyasema hayo leo tarehe 10 Juni 2024 wakati akikagua ujenzi wa jengo la ofisi…