Admin

Mauaji ya Mwalimu Tungaraza yaacha simulizi kwa familia, mke aendelea kusota mahabusu

Morogoro. Wakati Jeshi la Polisi mkoani Morogoro likiendelea na uchunguzi wa tukio la mauaji ya mwalimu mkuu wa Shule ya Msingi Signal, Christian Tungaraza, mdogo wa marehemu, Clavery Tungaraza amesema mara ya mwisho kaka yake alimtumia picha yake na kumwelekeza kwamba itumike kwenye mazishi yake atakapokuwa amekufa. Clavery amebainisha kwamba hadi sasa hafahamu mauaji hayo…

Read More

KIGOGO CCM ATOA RAI TAASISI ZIUNGANE KUPINGA RUSHWA

Katibu  wa Siasa na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi Ally Bananga  akizungumza  kwenye maadhimisho  ya miaka miwili  ya kuanzishwa kwa Taasisi ya Kupinga vitendo vya rushwa ACVF iliyofanyika katika Ukumbi wa Ubungo Plaza Jijini Dar es Salaam Kaimu Afisa Usalama Barabarani (RTO) Kinondoni  ASP Notker Kilewa  akizungumza kwenye hafla hiyo ambapo amekemea utoaji na upokeaji…

Read More

Kampuni ya Oryx, wabunge wamtunuku tuzo maalum Rais Samia

Dodoma. Kampuni ya Gesi ya Oryx Tanzania kwa kushirikiana na wabunge wanawake, wamemtunuku tuzo maalumu, Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutambua mchango wake katika kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia. Tuzo hiyo imetolewa leo Jumapili Juni 9 mjini Dodoma katika siku ya gesi ya kimiminika ya petroli duniani na Spika wa Bunge. Akizungumza katika hafla…

Read More

TIA kuwapiga msasa kidigitali watu wenye mahitaji maalumu

Morogoro. Taasisi ya Uhasibu Tanzania (TIA) kupitia kwa Kaimu Mtendaji Mkuu wake, Dk Momole Kasambala imetangaza mpango wake wa kuhakikisha wanafunzi wenye mahitaji maalumu wanaosoma kwenye vyuo vya taasisi hiyo, wanapata mafunzo ya teknolojia kama wanafunzi wengine. Imesema lengo ni kutaka wakidhi mahitaji ya soko la ajira na kujiajiri wenyewe. Akizungumza na Mwananchi Digital leo…

Read More