Mauaji ya Mwalimu Tungaraza yaacha simulizi kwa familia, mke aendelea kusota mahabusu
Morogoro. Wakati Jeshi la Polisi mkoani Morogoro likiendelea na uchunguzi wa tukio la mauaji ya mwalimu mkuu wa Shule ya Msingi Signal, Christian Tungaraza, mdogo wa marehemu, Clavery Tungaraza amesema mara ya mwisho kaka yake alimtumia picha yake na kumwelekeza kwamba itumike kwenye mazishi yake atakapokuwa amekufa. Clavery amebainisha kwamba hadi sasa hafahamu mauaji hayo…