ACHENI TABIA ZA KUJICHUKULIA SHERIA MKOANI:
Home » ACHENI TABIA ZA KUJICHUKULIA SHERIA MKOANI: Na Issa Mwadangala Wananchi wa Kijiji cha Itewe Kata ya Itaka Wilaya ya Mbozi Mkoani Songwe wametakiwa kuacha tabia ya kujichukulia sheria mkononi pindi uhalifu unapotokea katika maeneo yao bali wametakiwa kutoa taarifa hizo kwa Jeshi la Polisi ili ziweze kushughulikiwa kwa haraka.Rai hiyo ilitolewa na Mkuu…