Admin

Kiungo Azam atajwa Yanga, mchongo mzima upo hivi

SIKU chache baada ya sintofahamu ya kukosa saini ya kiungo, Yusuph Kagoma, mabosi wa Yanga wapo kwenye mchakato wa kuibomoa Azam FC kwa kumnasa kiungo fundi, Adolf Mtasingwa aliyebakiza mkataba wa miezi sita kuitumikia timu hiyo. Mwanaspoti linafahamu, Yanga kwa usiri mkubwa imeanza mazungumzo na kiungo huyo aliyekuzwa timu ya Vijana ya Azam aliyeng’ara katika…

Read More

MAJALIWA: MIUNDOMBINU YA MICHEZO KUENDELEA KUBORESHWA

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizungumza kwenye ufunguzi wa mashindano ya Umoja wa Michezo na Taaluma kwa shule za Msingi (UMITASHUMTA) na Sekondari (UMISSETA) katika uwanja wa Alli Hassan Mwinyi mkoani Tabora Juni 8.2024. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) …………….. WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali inaendelea kutekeleza mpango wa kuboresha miundombinu ya michezo katika shule teule 56…

Read More

Sugu aililia rasimu Katiba ya Warioba

Mbeya. Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Nyasa, Joseph Mbilinyi maarufu kwa jina la Sugu, ameshauri namna ya kuunasua mchakato wa Katiba, akitaka rasimu ya Katiba iliyoandaliwa na Tume ya Jaji Joseph Warioba irejeshwe ili ipigiwe kura na wananchi. Sugu amesema hatua hiyo itasaidia kuokoa mabilioni ya fedha yaliyotumika katika mchakato wa mabadiliko ya Katiba ambayo…

Read More

WATOTO MILIONI 4.8 WAKO KATIKA AJIRA HATARISHI NCHINI- TCACL

Na Mwandishi Wetu WAKATI Juni 12, 2024 dunia ikitarajia kuadhimisha siku ya utumikishwaji wa mtoto duninia, takwimu zinaonesha zaidi ya watoto milioni 5 wanatumikishwa nchini Tanzania, huku watoto milioni 4.8 wakiwa katika ajira hatarishi. Hayo yamesemwa na wadau mbalimbali wa kutetea watoto walioshiriki Kongamano la kujadili sera, sheria na miongozo ya kumlinda mtoto, wakiongozwa na…

Read More

Simba ilistahili ubingwa | Mwanaspoti

SIMBA Queens imebeba ubingwa huku msimu wa 2023/24 ukiwa haujamalizika baada ya kuifunga Alliance Girls mabao 3-0 kwenye Uwanja wa Nyamagana, jijini Mwanza, jana Ijumaa. Kwa ubingwa huo wa Ligi Kuu ya Wanawake, Simba imejikatia pia tiketi ya kushiriki michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika kwa Wanawake ikiwa ni mara ya pili kwao. Timu hiyo…

Read More

Urefu jina la wizara wamkera mbunge

Dodoma. Mbunge wa Masasi Mjini, Godfrey Mwambe amekosoa jina la Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalumu, huku akitadharisha kuachwa mtoto wa kiume katika mipango ya malezi na uwezeshaji.  Amesema hayo leo Juni 8, 2024 katika mafunzo ya  wabunge kuhusu uchambuzi wa bajeti kwa kuzingatia masuala ya kijinsia, yaliyoandaliwa na Bunge kwa…

Read More

Vaibu lamrudisha Aussems | Mwanaspoti

KOCHA wa zamani wa Simba, Mbelgiji Patrick Aussems amekiri kufurahia kurejea tena nchini, huku akiweka wazi vaibu la mashabiki hasa wanaojazana Uwanja wa Benjamin Mkapa ni moja ya sababu iliyomrejesha Tanzania na kujiunga na Singida Black Stars katika mashindano mbalimbali ya msimu ujao. Akizungumza na Mwanaspoti, Aussems alisema anajisikia furaha kubwa kurudi kwa mara nyingine…

Read More