WAZIRI MKENDA AITAKA TCU KUSHIRIKIANA NA VYUO VYA ELIMU YA JUU NCHINI
Na Mwandishi wetu Dodoma Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda ameitaka Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU) kuendelea kushirikiana na Vyuo vya Elimu ya Juu nchini katika mchakato wa kufanya maboresho ya mitaala ili iendane na Sera ya Elimu na Mafunzo ya Mwaka 2014 Toleo la 2023 na Mitaala Mipya ya Elimu…