Admin

TFNC waja na mradi wa lishe kwa vijana

Dar es Salaam. Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania (TFNC), imeanzisha mradi wa kutengeneza vyakula kwa ajili ya kuwasaidia watoto wa shule na kundi rika la vijana balehe nchini kuanzia miaka tisa hadi 19 kukabiliana na upungufu wa damu na madini chuma. Utafiti wa Afya na uzazi na Mtoto na Viashiria vya Malaria wa 2022…

Read More

Asilimia 77.7 Kilombero wanapata huduma ya maji safi na salama

IMEELEZWA kuwa lengo la serikali kuwafikishia maji safi na salama asilimia 85 ya wananchi waishio vijijiji na asilimia 95 ya wananchi waishio mjini ifikapo mwaka 2025, linakaribia kutimia wilayani Kilombero mkoani Morogoro baada ya asilimia 77 ya wananchi wa wilaya hiyo kufikishiwa huduma hiyo.  Anaripoti Victor Makinda, Morogoro … (endelea). Hayo yamebainishwa na Meneja wa…

Read More

Usafiri kivuko cha MV Kitunda Lindi warejea

Lindi. Siku 18 baada ya Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Zainab Telack kutoa maagizo ya kusimamishwa kivuko cha MV Kitunda kutokana na hitilafu, kivuko hicho sasa kimeanza kazi. Mei 22, 2024, RC Telack aliuagiza Wakala wa Ufundi na Umeme Tanzania (Temesa) kurejesha huduma ya usafiri ndani ya siku 14. Akizungumza na waandishi wa habari ofisini…

Read More

Matawi Simba waitana fasta kujadili waliojiuzulu

SAA chache tangu uongozi wa Simba kutangaza mabadiliko makubwa, huku baadhi ya Wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi ya Msimbazio wakiachia ngazi, viongozi wa matawi wa klabu hiyo wameitana fasta ili kukutana kwa lengo la kujadili kilichotokea. Simba ambayo ina misimu mitatu mfululizo ikicheza Ligi Kuu Bara na michuano ya Kombe la Shirikisho bila kubeba ubingwa,…

Read More

Metacha atua rasmi  Singida Black Stars

DILI limetiki. Ndivyo unavyoweza kusema baada ya mabosi wa Singida Black Stars (zamani Ihefu) Uongozi wa Ihefu, umemalizana na kipa Metacha Mnata aliyekuwa Yanga na muda wowote kuanzia sasa inatarajia kumtambulisha rasmi. Kipa huyo wa zamani wa  Azam, Mbao na Singida Big Stars, alikuwa sehemu ya kikosi cha Yanga kilichotetea ubingwa wa Ligi Kuu Bara…

Read More