Admin

Mwalimu ajinyonga akidaiwa kuliwa Sh1 milioni kwenye Aviator

Nyamira. Mwalimu wa sekondari ya Wavulana ya Nyamira nchini Kenya, amekutwa amefariki kwa kujinyonga nyumbani kwake. Mwalimu huyo aliyetambulika kwa jina la Kevin Omwenga mwili wake ulipatikana ndani kwake jana Alhamisi Juni 7, 2024, huku ikidaiwa kuwa alipoteza Ksh50,000 (Sh1 milioni) kwenye kamari maarufu kama aviator au kindege. Msaidizi wa chifu wa eneo hilo, Johnson…

Read More

Tanzania majanga, yaikosa Riadha Afrika

HUWEZI kuamini, lakini ndo ukweli ulivyo, kwa mara ya kwanza Tanzania haitashiriki mashindano ya Riadha Afrika (African Athletics Championship) tangu yalipoanzishwa mwaka 1979 baada ya wanariadha waliotarajiwa kubeba bendera kukosa vigezo vya ushiriki. Mashindano hayo ya 23 kwa mbio za viwanjani yafanyika kati ya Juni 21- 26, jijini Douala huko Cameroon, ikitazamiwa kushirikisha wanariadha zaidi…

Read More

Mbili zapanda Ligi Kuu Zenji, Zimamoto yaua

WAKATI maafande wa KVZ na Zimamoto wakifanya mauaji katika mechi za Ligi Kuu Zanzibar (ZPL) iliyopo ukingoni, timu za Muembe Makumbi na Inter Zanzibar zimekuwa za kwanza kupanda ligi hiyo kwa msimu ujao wa 2024-2025. Muembe Makumbi ilikata tiketi ya kucheza Ligi Kuu kwa msimu ujao baada ya juzi kuifumua New King kwa mabao 2-0…

Read More

DKT. BITEKO AWATAKA WAZAZI KUPELEKA WATOTO SHULE

-Asisitiza nia yake kuchochea maendeleo Bukombe-Ataka ufuatiliaji wa wasioenda shule ufanyike hadi ngazi ya kaya-Daraja la mpakani kati ya Burenga na Mbogo kuanza kujengwa Na ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Bukombe mkoani Geita, Mhe. Dkt. Doto Biteko…

Read More

Mbappe hakanyagi nyasi za Santiago Bernabeu kifua mbele

INATAJWA Dennis Bergkamp alipokuwa usajili wa kwanza wa Kocha Bruce Rioch kila kitu kilibadilika Arsenal. Superstaa alikuwa amefika klabuni. Umri ulikuwa sahihi. Jina lilikuwa kubwa. Ulikuwa mwanzo mpya wa Arsenal mpya. Wachezaji wengi wakubwa wakatamani kucheza Arsenal. Kucheza kando ya fundi Dennis. Alitokea Inter Milan. Kabla ya Inter Milan alikuwa Ajax. Mchezaji mkubwa aliamsha ari…

Read More

WAKAZI WA KIGOMA WAASWA KUJIHADHARI NA MIKOPO KAUSHA DAMU

Na Chedaiwe Msuya, WF, Kigoma Mkuu wa Wilaya ya Kasulu, mkoani Kigoma, Kanal Anthony Mwakisu amewataka Wananchi kukopa kwenye taasisi za fedha zilizosajiliwa na Serikali na kutambulika kwa kuwa itasaidia kutatua changamoto zinazoweza kujitokeza kwa mkopaji kwa kuwa taasisi hizo zinaendeshwa kwa mujibu wa Sheria. Kanalı Mwakisu alitoa rai hiyo baada ya kukutana na wataalam…

Read More

WANANCHI WA BUKOMBE WAPEWA SOMO KUHUSU ELIMU

Na Mwandishi Wetu, Bukombe. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Bukombe mkoani Geita, Mhe. Dkt. Doto Biteko amewahimiza wazazi na walezi kuhakikisha watoto wao wanapata elimu kwa kuwa ndio nguzo ya maendeleo ya kijamii na kiuchumi. Amesema hayo Juni 7, 2024 wakati akihutubia mkutano wa wananchi katika…

Read More

TAREA YAOMBA UWAKILISHI WA REA, MAPITIO YA SERA YA NISHATI

Kamishina wa Umeme na Nishati Jadidifu Tanzania, Mhandisi Innocent Luoga akitoa hotuba ya Uzinduzi wa Maadhimisho ya Wiki ya Nishati Jadidifu  (REW) Mwaka 2024. Kushoto kwake ni Meneja Mafunzo wa sun king – Tanzania ambao ni wadhamini wakuu wa REW, Immaculate Shija na Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wadau wa Nishati Jadiditu Tanzania (TAREA), Mhandisi Prosper…

Read More