Admin

Polisi waendelea kumng’ang’ania Malisa | Mwananchi

Moshi. Wakati Jeshi la Polisi likiendelea kumshikilia Godlisten Malisa, mwanaharakati na mkurugenzi wa GH Foundation katika Kituo Kikuu cha Polisi Moshi mkoani Kilimanjaro, Msemaji wa Taasisi hiyo, James Mbowe amedai kuwa mwanaharakati huyo amepata changamoto za kiafya akiwa kituoni hapo.  Malisa alikamatwa jana Juni 6, 2024 muda mfupi baada ya kesi inayowakabili yeye na meya…

Read More

Waziri aelekeza wenye kipato duni wapate msaada wa kisheria

Mbeya. Waziri wa Sheria na Katiba, Pindi Chana ameagiza  wasaidizi wa kisheria ngazi za jamii kuboresha upatikanaji wa haki kwa wananchi wasio na uwezo ili kutatua changamoto za mirathi, migogoro ya ardhi, ndoa na ukatili wa kijinsia. Sambamba na hilo, ameagiza taasisi na mashirika ya kidini yanayotoa huduma yasajiliwe na kuingizwa kwenye mifumo ya kidijitali,…

Read More

PURA yashiriki hotuba ya bajeti Zanzibar

Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli (PURA) imeshiriki kama mgeni mwalikwa katika wasilisho la hotuba ya makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Uchumi wa Buluu na Uvuvi kwa mwaka 2024/2025. Wasilisho hilo ndani ya Baraza la Wawakilishi Zanzibar limefanywa Juni 07, 2024 na Waziri wa Uchumi wa Buluu na Uvuvi, Mhe….

Read More

JKT TANZANIA, Tabora UTD kumalizana kibabe Dar

MAAFANDE wa JKT Tanzania jioni ya leo watakuwa na kibarua cha kujihakikishia kubaki Ligi Kuu Bara kwa msimu ujao wakati watakapoikaribisha Tabora United katika pambano la marudiano la play-off huku wakiwa na hazina ya ushindi wa mabao 4-0 walioupata ugenini mwanzoni mwa wiki hii. Timu hizo zilizopanda daraja msimu huu na kujikuta zikiangukia kwenye play-offs…

Read More

Aliyemlisha mkewe kinyesi atupwa jela miezi 12

Musoma. Jeshi la Polisi mkoani Mara limewafikisha mahakamani watuhumiwa 36 wa makosa mbalimbali ya ukatili wa kijinsia, akiwemo Nyaikorongo Mwita aliyedaiwa kumlisha kinyesi mke wake, baada ya kumpiga na kumjeruhi. Akisimulia tukio hilo leo Ijumaa Juni 7, 2024 wakati akitoa taarifa ya utendaji kazi wa jeshi hilo kwa mwezi Mei 2024, Kamanda wa Polisi Mkoa…

Read More