Wabunge wanawake, Oryx wampa tuzo Rais Samia kuhamasisha nishati safi
WABUNGE wanawake kwa kushirikiana na Kampuni ya Oryx Gas Tanzania wametoa tuzo kwa Rais Samia Suluhu Hassan ya kutambua mchango wake katika kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia. Anaripoti Mwandishi Wetu …(endelea). Tuzo hiyo kwa Rais Samia imetolewa leo Ijumaa Mjini Dodoma wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Nishati Safi Kupikia Duniani ambapo Oryx…