Wachimbaji wadogo waonywa tabia ya kupuuza matumizi sahihi ya zebaki
Geita. Wakati Serikali ikisubiriwa kuja na njia mbadala na rahisi ya kuchenjua madini ya dhahabu, wachimbaji wadogo wametakiwa kuzingatia uvaaji wa vifaakinga ili kuondokana na madhara yatokanayo na kemikali hiyo inayoathiri afya na mazingira. Uchenjuaji wa dhahabu hutumia asilimia 80 ya zebaki yote inayotumika nchini na kwa mujibu wa mkataba wa kimataifa wa Minamata matumizi…