Ukomo michango wanafunzi kidato cha tano 80,000
SERIKALI imesema ukomo wa michango kwa wanafunzi wanaojiunga kidato cha tano katika shule za sekondari za serikali ni Sh 80,000 kwa shule za bweni na Sh 50,000 kwa shule za kutwa. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Hayo yamebainishwa leo Ijumaa na Naibu Waziri wa Nchi katika Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za…