Admin

Ukomo michango wanafunzi kidato cha tano 80,000

SERIKALI imesema ukomo wa michango kwa wanafunzi wanaojiunga kidato cha tano katika shule za sekondari za serikali ni Sh 80,000 kwa shule za bweni na Sh 50,000 kwa shule za kutwa. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Hayo yamebainishwa leo Ijumaa na Naibu Waziri wa Nchi katika Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za…

Read More

Tetesi za ANC kujiunga na DA zaibua maandamano Afrika Kusini

Johannesburg. Wakati Chama cha African National Congress (ANC) cha Afrika Kusini kikiwa kimejifungia kutafakari kiungane na chama kipi kuunda Serikali, tetesi zimeibuka kuwa chama hicho kinatarajia kuungana na chama cha Democratic Alliance (DA). Tetesi hizo zimeibua hasira kwa baadhi ya wanachama wa ANC na wameanza maandamano ya kupinga. Wakati ANC ikiwa njiapanda, muda wa kikatiba…

Read More

Alliance kutibua sherehe za Simba!

LIGI Kuu ya Wanawake inaendelea leo baada ya kusimama tangu Mei 14, mwaka huu, huku Simba Queens ikihitaji ushindi ili kutwaa ubingwa huo ambao waliukosa msimu uliopita mbele ya JKT Queens. Simba Queens itakuwa ugenini leo katika Uwanja wa Nyamagana, Mwanza kuanzia saa 10:00 jioni ikiwakabili wenyeji wao, Alliance Girls ambao ushindi kwao ni wa…

Read More

Biteko aiagiza Tanesco kujenga laini mpya ya umeme Ushirombo

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko ameliagiza Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) kujenga laini mpya ya umeme kutoka Nyakanazi-Ushirombo na Kahama Bongwe hadi Bukombe ili kuhakikisha hali ya upatikanaji wa umeme katika  Wilaya ya Bukombe inaimarika. Anaripoti Mwandishi Wetu …(endelea). Dk. Biteko ametoa agizo hilo alipozungumza na wananchi wa Jimbo la…

Read More

Geita bado haiamini, waitana fastaa

BAADA ya kushuka daraja kutoka Ligi Kuu msimu huu na kuwa na ukimya kwa takribani wiki moja, uongozi wa Geita Gold umesema umeamua kutulia kwa sasa na kujikita kufanya vikao vya ndani ili kuja na maamuzi sahihi na mipango ya kinachofuata. Timu hiyo ambayo ilidumu Ligi Kuu Bara kwa misimu mitatu tangu 2021/2022 hadi 2023/2024,…

Read More

Mv Kigamboni kufanyiwa ukarabati mkubwa

Dar es Salaam. Hatimaye Wakala wa Ufundi na Umeme Tanzania (Temesa) umetangaza kusitisha huduma za uvushaji abiria kwa kutumia kivuko cha Mv Kigamboni kuanzia leo Ijumaa Juni 7, 2024. Hatua hiyo kwa mujibu wa Temesa, inalenga kwenda kukifanyia ukarabati mkubwa kivuko hicho kinachotoa huduma kati ya Kigamboni-Magogoni jijini Dar es Salaam. Uamuzi wa Temesa umefikiwa…

Read More

Wanafunzi Chuo cha Ustawi wa Jamii kushiriki Tuzo za kimataifa Hult Prize Kenya

KUPITIA wazo Lao la kibishara na kibunifu linalohusu “Recycling of plastic waste into eco-brick “ (Utengenezaji na uzalishaji wa tofali kwa kutumia taka za plastiki) wanafunzi watatu kutoka #chuochaustawiwajamii  ni Miongoni mwa wanafunzi kutoka vyuo mbali mbali Duniani wanaokutana Jijini Nairobi Nchini Kenya Kuwania Tuzo hii.  Tuzo ya Hult ni shindano kubwa zaidi la ujasiriamali…

Read More

Kivumbi uchaguzi TWFA Mwanza | Mwanaspoti

KESHO Chama cha Soka la Wanawake Mkoa wa Mwanza (WFAMZ) kitafanya uchaguzi mkuu kupata uongozi mpya utakaochaguliwa na wapigakura 12, huku kukiwa na mnyukano mkali ambao umefanya kamati ya uchaguzi huo kutoa onyo kali. Nafasi zinazogombewa kwenye uchaguzi huo ni mwenyekiti na Sophia Makilagi anatetea kiti chake akikabiliwa na upinzani mkali kutoka kwa Mwenyekiti wa…

Read More