Wakazi 603 wa Kitunda Relini Gongo la Mboto wafikiwa na huduma ya tiba mkoba
Wakazi 603 wa Kitunda Relini Gongo la Mboto jijini Dar es Salaam wamepata huduma za upimaji wa magonjwa yasiyoambukiza na homa ya Ini katika kambi maalumu ya matibabu iliyofanywa na watalamu wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete(JKCI), Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) Idara ya magonjwa ya akili na Taasisi ya Saratani Ocean Road. Huduma hiyo…