Mabalozi wa Tanzania nje wanolewa chuo cha uongozi
Kibaha. Mabalozi wanaoiwakilisha Tanzania katika mataifa mbalimbali duniani wamekutana mjini Kibaha, mkoani Pwani kwa warsha maalumu inayolenga kuwakumbusha majukumu yao na matarajio ya Serikali kwenye maeneo yao ya kazi. Warsha hiyo iliyoandaliwa na Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, imeanza leo Aprili 21, 2024 katika Chuo cha Uongozi cha Mwalimu Julius…