Ouma aachiwa msala wa CAF
MABOSI wa Coastal Union wameamua kumuachia msala wote wa michuano ya kimataifa msimu ujao, kocha mkuu David Ouma aliyeiwezesha timu hiyo kumaliza katika nafasi ya nne ya Ligi Kuu Bara na kufika nusu fainali ya Kombe la Shirikisho, huku ikimshukuru na kumpongeza kwa kazi nzuri aliyoifanya. Wagosi wa Kaya hao wanarejea katika michuano ya kimataifa…