Watoto wa mitaani wafunguka wanayoyapitia
Arusha. Dharau, lugha za matusi na vipigo vya mara kwa mara wakati mwingine bila kosa, ni baadhi ya madhila wanayokumbana nayo watoto wanaoishi na kufanya kazi mitaani. Ili kuondokana na hilo, wameiomba Serikali kuwakusanya pamoja na kuwapatia elimu ya ujasiriamali, mikopo ya vijana hasa wale waliosogea umri. Wamesema lengo la kuhitaji kupatiwa mtaji ni waweze…