Admin

Wakulima kunufaika na masoko ya mazao

Waziri wa Kilimo, Mhe. Hussein Bashe (Mb) amesema Serikali kupitia Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula (NFRA) itaanza kununua mazao ya wakulima kuanzia Julai 15 hadi 20 mwaka huu katika vituo vya ununuzi ambavyo vitatangazwa hapo baadae. Mhe Bashe ameyasema hayo tarehe 5 Juni, 2024 jijini Dodoma katika Hafla ya Utiaji Saini Randama za…

Read More

Madalali, sera mbovu chanzo kukwama kilimo cha mwani

Dar es Salaam. Wadau na wakulima wa zao la mwani nchini wametaja teknolojia, bei ya chini, madalali na sera mbovu kuwa changamoto katika kilimo hicho. Wakizungumza jana Juni 5, 2024 katika mkutano wa pembeni ulioandaliwa na Shirika la Uhifadhi wa Mazingira Duniani (WWF) jijini Dar es Salaam, baadhi ya wakulima wamesema soko la mwani bado…

Read More

MARTINA THOMAS:NYOTA YA SANAA KANDA YA ZIWA,NI MSANII WA NGOMA ZA ASILI ALIYETEKA HISIA ZA WAZUNGU

Na Mtemi Sona   Ukizungumzia sanaa ya ngoma za asili kanda ya ziwa, huwezi kuacha kumtaja mwana dada Martina Thomas. Kama wewe ni Mtazamaji, Martina akiwa jukwaani huwezi kuchoka kutazama jinsi anavyolishambulia jukwaa kwa uchezaji wake mahili na wenye kuvutia. Ni dada ambaye ameteka hisia za wapenzi wengi wa ngoma hizo hasa wazungu kutoka mataifa ya…

Read More

Doyo kugombea uenyekiti ADC, amkaribisha Msigwa

Na Winfrida Mtoi, Mtanzania Digital Katibu Mkuu wa Chama cha Alliance for Democratic Change (ADC), Doyo Hassan Doyo ametangaza dhamira ya kugombea nafasi ya uenyekiti wa chama hicho Taifa baada ya Hamad Rashid Mohammed kumaliza muda wake. Akizungumza na waandishi wa habari leo Juni 6, 2024 jijini Dar es Salaam, Doyo amesema anatangaza kugombea nafasi…

Read More

Sh787 bilioni zatengwa kukopesha wanafunzi 250,000

Dar es Salaam. Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu (HESLB) imetangaza rasmi kufunguliwa kwa dirisha la uombaji mikopo ya elimu ya juu kwa njia ya mtandao ‘Online Loan Application Management System’ (OLAMS) kwa mwaka wa masomo 2024/2025. Dirisha hilo la maombi litakuwa wazi kwa muda wa siku 90 kuanzia Juni 1 hadi Agosti 31,…

Read More