Rasmi chanjo ya Saratani kutolewa DSM, Mkuu wa Wilaya anena “maeneo yote watapewa”
Mkoa wa Dar es Salaam umezindua rasmi zoezi la utoaji wa chanjo wa Saratani la mlango wa uzazi kwa wasichana mwenye umri kati ya miaka 9 hadi 14 ambapo Wasichana Zaidi ya Laki 150,000 wanatarajiwa kupatiwa chanjo hiyo mkoani wa Dar es Salaam. Akizungumzia wakati wa zoezi la utoaji wa Chanjo hiyo mkuu wa Wilaya…