Admin

SERIKALI KUENDELEA NA UTEKELEZAJI GRIDI YA TAIFA YA MAJI

WAZIRI wa Maji Jumaa Aweso amesema Serikali inaendelea na maandalizi ya utekelezaji wa Gridi ya Taifa ya Maji inayolenga kutumia vyanzo vya uhakika vya maji ikiwemo maziwa na mito. Ameyasema hayo leo April 23, 2024,jijini Dodoma wakati akijibu swali la mbunge wa Buhigwe Kavejuru Felix aliyeuliza Serikali ina mpango gani wa kuanzisha Mradi wa Grid…

Read More

BUNGE LAPITISHA BAJETI YA OFISI YA MAKAMU WA RAIS

Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limepitisha Bajeti ya Ofisiya Makamu wa Rais kiasi cha shilingi bilioni 62.7 kwa mwaka wa fedha2024/2025 bungeni jijini Dodoma leo Aprili 23, 2024. Hotuba ya bajeti hiyo iliyowasilishwa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamuwa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt. Selemani Jafo ilichangiwana wabunge mbalimbali ambao baadhi…

Read More

Shibuda amlima waraka mzito Bulembo

MKONGWE wa siasa nchini, John Shibuda amemshukia kada maarufu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdallah Mulembo, aliyempinga Mbunge wa Kisesa, Lwaga Mpina. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Hivi karibuni, Mpina alikaririwa akitaka Serikali iunde Tume kuchunguza kifo cha Rais John Magufuli aliyefariki dunia Machi 17 mwaka 2021 na nafasi yake kuchukuliwa na Rais Samia Suluhu…

Read More

NBC yaahidi kuendelea kuunga mkono Serikali za Mitaa

Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imesisitiza dhamira yake ya kuunga mkono jitihada mbalimbali zinazofanywa na Mamlaka za Serikali za Mitaa (LGAs) katika kuwawezesha na kukuza maendeleo endelevu kwa manufaa ya jamii. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Mkurugenzi wa wateja wakubwa na Shughuli za Serikali wa NBC, James Meitaron (pichani) akizungumza kwenye Mkutano Mkuu wa…

Read More

Rais kuteua ma-DED ngoma nzito

Dar es Salaam. Kauli ya Mbunge wa Mlimba (CCM), Godwin Kunambi ya kuhoji sababu za wakurugenzi wa halmashauri kuendelea kuteuliwa na Rais, imewaibua wadau wakisema nafasi hizo ziombwe kulingana na sifa zitakazowekwa. Suala la uteuzi wa wakurugenzi wa halmashauri, limekuwa likilalamikiwa na wadau na hasa baadhi ya vyama vya upinzani, vikidai kuwa nafasi hizo zinatumika…

Read More

EMPOWERING FEMALE ENTREPRENEURS AND BUSINESS OWNERS: CFAO MOBILITY TANZANIA AND STANBIC BIASHARA INCUBATOR UNITE ON INTERNATIONAL WOMEN’S DAY

  In celebration of International Women’s Day, CFAO Mobility Tanzania and Stanbic Biashara Incubator collaboratively hosted an impactful event aimed at empowering female entrepreneurs and business owners. The event hosted at Stanbic Biashara Incubator offices in Dar es Salaam witnessed a gathering of accomplished women from diverse sectors who generously shared their success stories and…

Read More